Nadhani lengo la mtoa mada ni kutaka kuichafua VETA.
Mimi nimesoma kozi hiyo na nimetoka vizuri.
Wakati tunaanza tuliambiwa tuwe na mazoea ya kwenda kwa mafundi simu ili kupata uzoefu. Pia huwa wanasisitiza wanafunzi kwenda na simu mbovu kutoka mitaani ili kuzitengeneza na kupata uzoefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.