Huu ni usemi nilisikia kwa Sheikh mmoja hivi, nahisi amenigusa mimi kabisa. Nimekosea kupenda hivyo nimeyakosea Maisha yangu kabisa. Nipo kwenye ndoa lakini niliyemuoa nilikuja gundua simpendi japo yeye ananipenda sana na ninayempenda siwezi kumuoa ilimradi tabu tupu.
Natamani siku zirudi nyuma...
Umenena vyema sana mkuu, hiki unachokisema niliwahi muuliza binti mmoja akaniambia kama hivi ulivyosema. End of the day watoeni Bikra lakini wakikutana na wazee wa kazi tunawapiga show mpaka na sisi watupe nafasi katika mioyo yao.
Wakuu hii story yangu ambayo niliandika kama kisa ambacho siwezi kukisahau na huwa kinanitesa mpaka leo kwenye maisha yangu, na nilikiandika kama mchango katika uzi wa ndugu yetu
laskaboza , lakini kwa mapendekezo ya wadau ni bora kuwepo na uzi wa visa vya nyuma wenye mlengo wa mapenzi au...
Akhsante mkuu, B ananipenda sana na sina shaka juu ya hilo lakini hayupo comfortable sababu mimi ni mume wa mtu, na mimi kumruhusu aende naona ntaumia zaidi, yaani mara nyingine huwa tunalia tu chumbani mimi na B wangu, tunamkufuru Mungu (kwa nini asingetukutanisha mapema tu) na mara nyingine...
Mkuu hii story yako imenigusa sana hasa haya maneno yako ''Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.'' Ni ukweli kabisa, yaani ni swala la kuzingatia sana mimi mpaka leo nina kazi nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.