JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Jamii inatakiwa kuendelea kupewa elimu juu ya ugonjwa wa Selimundu(Sickle Cell) kwa kuwa unatibika.
Ripoti ya Tanzania Sickle Cell Disease Alliance (TANSCDA) iliyotolewa Desemba 2021 ulionesha kuwa Tanzania kuna jumla ya watoto 11,000 kila mwaka wanaozaliwa na Ugonjwa wa Selimundu
Aidha, ilionesha kuwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Pwani ndipo kuna tatizo ni kubwa.
Ripoti ya Tanzania Sickle Cell Disease Alliance (TANSCDA) iliyotolewa Desemba 2021 ulionesha kuwa Tanzania kuna jumla ya watoto 11,000 kila mwaka wanaozaliwa na Ugonjwa wa Selimundu
Aidha, ilionesha kuwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Pwani ndipo kuna tatizo ni kubwa.