Kati ya hawa Marapa mahiri wa hizi Bendi kubwa za Kikongo ni akina nani walikukonga nyoyo sana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,548
108,882
Huku Kwetu nchini Tanzania tunawaita Marapa / Waghani ila kwa wenyewe Wakongo kutoka Kinshasa na Brazaville wanawaita Atalakus na kwa Wafaransa na Kifaransa wanaitwa Animateurs kutokana na umuhimu wao mkubwa wa kuchangamsha Jukwaa na kufanya Nyimbo zinazopigwa pale Stejini ziwe tamu, usichoke na zikutie nguvu.

Nitaweka tu hapa Marapa wa Bendi zile kubwa tu za huko Congo DR na Brazaville kisha Wewe Member wa JF ambaye ni Mpenzi wa Miziki ya Dansi useme ni akina nani walikufurahisha na mpaka leo bado unapenda kuwasikiliza unapokuwa umepumzika zako.

Quarter Latin ( Bendi ya Koffi Charles Antoine Olomide ) alikuwa na Marapa hawa:

  1. Parabolic
  2. Mboshi Bola
  3. Eyale Kalondji a.k.a Kerozene
  4. Rwinga Keps a.k.a Brigade
  5. Gesac na huyu yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Mkuu
Wenge Musica BCBG ( Bendi ya Jean Bedele Tshituka Mpiana ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Roberto Wunda Enkokota
  2. Tutu Calugdi Yombo Lumbu
  3. Jean Noel Kilimandjaro
  4. Pitshou Lisimo GENTAMYCINE ambaye hadi sasa ndiyo Rapa Kiongozi ndani ya BCBG
  5. Fusse De Gaire yupo hadi sasa akiwa kama Rapa Msaidizi wa Gentamycine
Extra Musica Zangul Zangul ( Bendi ya Ibambi Ikombi au Roga Roga ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Mazikou Ghislain au Killa Mbongo
  2. Arafate Wanya
  3. Sheramila Terminator ambaye yupo hadi sasa
  4. Zaparo Degaire ambaye yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Kiongozi katika Bendi.
Wenge Musica Maison Mere ( Bendi ya Ngiama Makanda Werrason ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Mukeba Kalondji a.k.a Bill Clinton
  2. Mozami Muviu a.k.a Celeo Stram
  3. Rwa Davide yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Kiongozi wa Bendi
Ewe Mpenzi na Mdau hasa wa Miziki ya Kikongo ni Marapa wa Bendi zipi au gani ambao walikuwa au bado wanakufurahisha na unawakubali sana ambao hata siku ikitokea wakaja tena Tanzania utakuwa radhi hata kwenda Kukopa Hela sehemu ili tu ukawashuhudie wakiliamsha Dude Ukumbini hasa kwa styles zao za Kughani / Kurapu?

Karibuni wale Wadau wa Miziki ya Dansi mtiririke na mserereke na tafadhali wale mliozoea Mdumange, Kiduku, Taarab na Ngojera msitubughudhi kabisa kwakuwa hapa tunataka kujadili Miziki ya Watu wanaojielewa na siyo hao Waswahili wenu mliowazoea.
 
Unataka kumlinganisha Toto Kalunji na vitu vya ajabu ajabu!!?
Mavi. Nimesikiliza nyimbo za Extra Musica usiku huu nimegundua yule Killa Mbongo ndio Rapper hatari katika muziki wa band duniani.
Kwahiyo wewe umeandika mavi, yafute.
 
Huku Kwetu nchini Tanzania tunawaita Marapa / Waghani ila kwa wenyewe Wakongo kutoka Kinshasa na Brazaville wanawaita Atalakus na kwa Wafaransa na Kifaransa wanaitwa Animateurs kutokana na umuhimu wao mkubwa wa kuchangamsha Jukwaa na kufanya Nyimbo zinazopigwa pale Stejini ziwe tamu, usichoke na zikutie nguvu.

Nitaweka tu hapa Marapa wa Bendi zile kubwa tu za huko Congo DR na Brazaville kisha Wewe Member wa JF ambaye ni Mpenzi wa Miziki ya Dansi useme ni akina nani walikufurahisha na mpaka leo bado unapenda kuwasikiliza unapokuwa umepumzika zako.

Quarter Latin ( Bendi ya Koffi Charles Antoine Olomide ) alikuwa na Marapa hawa:

  1. Parabolic
  2. Mboshi Bola
  3. Eyale Kalondji a.k.a Kerozene
  4. Rwinga Keps a.k.a Brigade
  5. Gesac na huyu yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Mkuu
Wenge Musica BCBG ( Bendi ya Jean Bedele Tshituka Mpiana ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Roberto Wunda Enkokota
  2. Tutu Calugdi Yombo Lumbu
  3. Jean Noel Kilimandjaro
  4. Pitshou Lisimo GENTAMYCINE ambaye hadi sasa ndiyo Rapa Kiongozi ndani ya BCBG
  5. Fusse De Gaire yupo hadi sasa akiwa kama Rapa Msaidizi wa Gentamycine
Extra Musica Zangul Zangul ( Bendi ya Ibambi Ikombi au Roga Roga ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Mazikou Ghislain au Killa Mbongo
  2. Arafate Wanya
  3. Sheramila Terminator ambaye yupo hadi sasa
  4. Zaparo Degaire ambaye yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Kiongozi katika Bendi.
Wenge Musica Maison Mere ( Bendi ya Ngiama Makanda Werrason ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Mukeba Kalondji a.k.a Bill Clinton
  2. Mozami Muviu a.k.a Celeo Stram
  3. Rwa Davide yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Kiongozi wa Bendi
Ewe Mpenzi na Mdau hasa wa Miziki ya Kikongo ni Marapa wa Bendi zipi au gani ambao walikuwa au bado wanakufurahisha na unawakubali sana ambao hata siku ikitokea wakaja tena Tanzania utakuwa radhi hata kwenda Kukopa Hela sehemu ili tu ukawashuhudie wakiliamsha Dude Ukumbini hasa kwa styles zao za Kughani / Kurapu?

Karibuni wale Wadau wa Miziki ya Dansi mtiririke na mserereke na tafadhali wale mliozoea Mdumange, Kiduku, Taarab na Ngojera msitubughudhi kabisa kwakuwa hapa tunataka kujadili Miziki ya Watu wanaojielewa na siyo hao Waswahili wenu mliowazoea.
Mkuu umemuacha Atalaku bora kabisa JEAN LOUIS AYABADJA KOMBE AKA CNN ALLIGATOR
 
Huku Kwetu nchini Tanzania tunawaita Marapa / Waghani ila kwa wenyewe Wakongo kutoka Kinshasa na Brazaville wanawaita Atalakus na kwa Wafaransa na Kifaransa wanaitwa Animateurs kutokana na umuhimu wao mkubwa wa kuchangamsha Jukwaa na kufanya Nyimbo zinazopigwa pale Stejini ziwe tamu, usichoke na zikutie nguvu.

Nitaweka tu hapa Marapa wa Bendi zile kubwa tu za huko Congo DR na Brazaville kisha Wewe Member wa JF ambaye ni Mpenzi wa Miziki ya Dansi useme ni akina nani walikufurahisha na mpaka leo bado unapenda kuwasikiliza unapokuwa umepumzika zako.

Quarter Latin ( Bendi ya Koffi Charles Antoine Olomide ) alikuwa na Marapa hawa:

  1. Parabolic
  2. Mboshi Bola
  3. Eyale Kalondji a.k.a Kerozene
  4. Rwinga Keps a.k.a Brigade
  5. Gesac na huyu yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Mkuu
Wenge Musica BCBG ( Bendi ya Jean Bedele Tshituka Mpiana ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Roberto Wunda Enkokota
  2. Tutu Calugdi Yombo Lumbu
  3. Jean Noel Kilimandjaro
  4. Pitshou Lisimo GENTAMYCINE ambaye hadi sasa ndiyo Rapa Kiongozi ndani ya BCBG
  5. Fusse De Gaire yupo hadi sasa akiwa kama Rapa Msaidizi wa Gentamycine
Extra Musica Zangul Zangul ( Bendi ya Ibambi Ikombi au Roga Roga ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Mazikou Ghislain au Killa Mbongo
  2. Arafate Wanya
  3. Sheramila Terminator ambaye yupo hadi sasa
  4. Zaparo Degaire ambaye yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Kiongozi katika Bendi.
Wenge Musica Maison Mere ( Bendi ya Ngiama Makanda Werrason ) alikuwa na Marapa hawa:
  1. Mukeba Kalondji a.k.a Bill Clinton
  2. Mozami Muviu a.k.a Celeo Stram
  3. Rwa Davide yupo hadi sasa na ndiyo Rapa Kiongozi wa Bendi
Ewe Mpenzi na Mdau hasa wa Miziki ya Kikongo ni Marapa wa Bendi zipi au gani ambao walikuwa au bado wanakufurahisha na unawakubali sana ambao hata siku ikitokea wakaja tena Tanzania utakuwa radhi hata kwenda Kukopa Hela sehemu ili tu ukawashuhudie wakiliamsha Dude Ukumbini hasa kwa styles zao za Kughani / Kurapu?

Karibuni wale Wadau wa Miziki ya Dansi mtiririke na mserereke na tafadhali wale mliozoea Mdumange, Kiduku, Taarab na Ngojera msitubughudhi kabisa kwakuwa hapa tunataka kujadili Miziki ya Watu wanaojielewa na siyo hao Waswahili wenu mliowazoea.
Top 5, best of the best ni:
1. Bill Clinton Kalonji
2. CNN Alligator
3. Celeo Scram
4. Tutu Caludji
5. Mboshi Lipasa
 
Back
Top Bottom