Recent content by mnyepe

  1. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Magufuli (Jesca) sijui alifikaje Chuo Kikuu?

    watu ni wafukufuku..
  2. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Magufuli kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Maktaba UDSM

    Jamaa anajiamini sana huyo. Haya tuone wasomi wetu watakavyompokea na kumsikiliza.
  3. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Members only

    Hahahaha..watu na fani zao..wakware hio taulo wameshaivua na kumla kabisaaa!!
  4. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Nani anauza Toyota Vitz jamani

    Tulia mtoto mzuri kwa hio hela gari hio utaipata bila wasiwasi..wewe tulia kama unanyolewa.
  5. mnyepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

    usinifanyie hivyo mtoto wa mwanamke mwenzio!! kuwa na huruma basi.
  6. mnyepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

    Nina dawa mujarab ya hayo maradhi yako..mzima wewe?
  7. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Mtu na _______wake

    Daah sina la kusema kwa kweli.
  8. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

    Huyu ndio kiba ninae mjua mimi. Funika mbayaaa kama nyimbo yake vile!!
  9. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu anayeitwa Rashidi Mshana

    usikariri hata same wako..maeneo ya ndenga, mwembe, manolo, gonja na kisiwani
  10. mnyepe

    JamiiForums Tanzania CUF: Nassor Ahmed Mazrui Naye Atakiwa Kijisalimisha Polisi

    kazi ipo!!
  11. mnyepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ile naingia tu, jamaa anapiga kofi wowowo la mke wangu, huku wakifurahi

    Hapo bila kumung'unya maneno, huyo hawezi kuwa mke mwema anaetoka kwa bwana.
  12. mnyepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mumewe atembea na msichana wa kazi na kupangisha nae chumba mtaa wa pili

    Wewe hujaolewa na hivyo huna locus ya kutoa opinion kwa jambo usilolijua..
  13. mnyepe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mumewe atembea na msichana wa kazi na kupangisha nae chumba mtaa wa pili

    Ni pm namba za huyo mwanamke nimliwaze na mimi...si umesema ana kazi nzuri, msomi, ana mawe ya nguvu.!!!
  14. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri mechi ya Yanga Vs Simba Feb 20, 2016 Yanga yapaa kileleni

    Yanga rahaaaaa!!! kampa kampa tena..japo wanadai msemo wao lakini kikubwa zaidi mnyama kaukalia mara mbili...hahahahaaaa
  15. mnyepe

    JamiiForums Tanzania Nani anawaajiri Lectures?

    Ndio watu gani hao?
Back
Top Bottom