Pole sana, kama wewe ni mtoto wa hao hao magamba wa chama cha mafisadi utamkumbuka huyo baba riz 1. Kwa sisi wengine hatuna njia nyingine zaidi ya kuwaondoa madarakani...
Pole sana Nape, umeanza kutanga tanga maskini wa Mungu!!! Najua huwezi baki ccm pekee yako ndo maana uliamua kuanzisha ccj ukiwa ndani ya chama cha mafisadi.
Ulipewa ukatibu mwenezi wa hicho chama pamoja na hivyo ulivyo kwa kuwa wote mpo sampuli hiyo hiyo, eti mil 500 unadhani chama cha...
Wewe Nape na wenzako acha hizo propaganda mlizozoea Chama Cha Mafisadi (CCM). Chadema hawawezi fanya ujinga wenu huo, na hadanganyiki mtu sasa hivi, subirini 2015 mtaona, hata vijijini mlikokuwa mnajivunia wanakijiji wote wameshaelimika.
Mbona mnaogopa vivuli vyenu wenyewe????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.