Huwezi kuwa na data kama hizi iwapo wewe pia si "chakula". Acheni uchafu wenu kututangazia.haya makanisa ya kifedhuli yako znz???
Gay Friendly Churches in Africa
Kenya 1 church Trinity Church Of Christ Nairobi City United Church of Christ Nigeria 1 church MCC Okigwe Okigwe MCC South Africa 16 churches
MCC Good Hope Cape Town MCC The Full Family Church Bloemfontein Non-denominational Agapé Revelation Church Boksburg Non-denominational Beth-Haran Boksburg Non-denominational GCC Doorenfontein Non-denominational Word of Life MCC Durban MCC Deo Gloria Family Church KZN Durban Non-denominational Real Life Church Jeffreys Bay Non-denominational Hope and Unity MCC Johannesburg MCC Reformerende Kerk Jhb Johannesburg Non-denominational Die Kapel Melville Non-denominational Beth-Haran Ministries Potchefstroom Non-denominational Eastside Community Church Pretoria Interdenominational Glorious Light MCC Pretoria MCC Agallia Ministries Pretoria Non-denominational, Pentecostal Reforming Church Pretoria Non-denominational Tanzania 1 church Pentecostal Evangelistic Church Mbeya Non-denominational Uganda 1 church Integrity Uganda unknown (see web site) Anglican Kason Church Kabale Non-denominational
Kwa hali hii ya udini inayoendelea zanzibar basi tumeshapata maana halisi ya dini ya kiislamu kiundani.
Tanx sana waislamu kwa kututendea haya mnayotutendea wakristo ila jueni kwamba.
"HAKUNA ALOWAHI KUTENDA UBAYA JUU ISRAEL NA AKAISHI"
Tunaamini hali itakuwa shwari sasa, ingawa kilichofanyika ni uhuni mkubwa. Sina hakika kama kuna faida yoyote ya huu muungano, kama wanataka uvunjwe nadhani ni bora iwe hivyo. Lakini njia wanazotumia kudai kuvunjwa huo muungano siyo stahili, wanaharibu mali na kufanya uhuni wa ajabu sana. Baada ya kuona ile habari ktk gazeti iliyosema "HATUNA IMANI NA BARAZA NA MITIHANI" na kusema WAISLAMU WANAFELISHWA KWA MAKUSUDI nilishajua hawa jamaa sasa wanaanza chokochoko za kutaka kuanza kufanya vurugu. Ni uhuni sana!
Plz njoo na details na picha if possible.
Sasa hapo Muungano na kanisa unajua sipati picha nini kimejificha hapa kwa Wanzanzibari? Mmewapiga watawa wa watu, mmechoma kanisa na nyumba yao, mmeiba mali ndani ya kanisa na nyumbani kwa watawa imani yenu ndo inawatuma ivyo?
Mnatafuta watu waseme mpate cha kusema najua mnataka Kadrinary Pengo aongee mseme udini
Nani asiyekujua wewe ni mdini mnasingizia muungano Kumbe ni kuua ukristoAcheni propaganda
Nyie mnaendekeza udini ingikuwa ni Misikiti imechomwa moshi au Arusha mapovu yangewatoka kuwa ni CDMMkuu JF sio sehemu ya porojo ebu weka ushahidi wa hayo maneno yako.
Hawa ndo wanaotaka tuwe na hizo mahakama za kadhi? Tutawaliwe na sheria za chuki na kishetani kama hivi?
mbona kwa tabia nyingi za kifedhuli mnasifika znz ikiwemo ushoga umetawala huko visiwani kuliko bara, mtasema na hilo watu wa bara wamewaletea??!!