Askari waliomteka Ulimboka ni wazalendo wa kweli

Nashindwa kuepuka kuwalaumu watawala wetu kuwa na mkono wao kwenye hili,hebu penginetutumie hesabu nyepesi ya :kama a=b, and b=c most probably a=c.Matamshi umeyatoa mwenyewe 'Litakalokuwa na liwe' ukimaanisha kwamba kama "noma na iwe noma" na viashiria vya dhamira yako vimeanza kuonekana kwanini tusikuhisi kuhusika moja kwa moja na tukio hili? Sioni uzalendo wa hawa maaskari mbali na kutudhihirishia watanzania kwamba wanaweza kutunyamazisha hata kama wakubwa wa nchi wakifanya madudu na tunapaswa kufyata mikia. Lugha nyepesi ni kutaka kutuonyesha kwamba serikali ipo na Kwamba kama kipondo kimetembea kwa madaktari basi yeyote atayekwenda tofauti na mawazo ya wakubwa ata.......pia.
 
Kiongozi wa madaktari kufanya kikao na watu asiowajua?? au alikuwa anafikiria atapewa mlungula?

Mimi nina wasiwasi sana na huyu dokta Ulimboka!


Mkubwa hata mimi nakuunga mkono na nimeshaongea sana hapa jf.Suala la mgomo ni la madaktari wote nchi nzima,yeye anaitwa na watu asiowafahamu,anaenda na rafiki yake!!!Ina maana hii issue imekuwa ya kirafiki??Nadhani huyo Dr Ulimboka alikuwa anafikiri atapewa mlungula.Na kama alifikiri hivyo ina maana anaweza kupokea mlungula na kuwasaliti wenzake.HUYO HAFAI KABOSA NI MSANII NA MCHUMIA TUMBO TU.ANAFANYA SIASA AKITAKA ATUMIE MGONGO WA MADAKTARI KWA MASLAHI BINAFSI.
 
Kumbukeni madaktari wameanzisha vita sasa katika vita hakuna kuoneana huruma ni mapambano mpaka ushindi uje.

Bado kuna mapungufu mengi upande wa madaktari, hakuna ulinzi kwa viongozi na nchi ishaharibika. Wahuni ndio wanachukuaga hatua za namna hii ukizingua kuna vikosi vya kukodi manzese nasikia, unabanduliwa halafu kipondo.

Sasa kama madaktari wako vitani wapunguze maneno na ngojera, vita ni vita mura!
 
Kumbukeni madaktari wameanzisha vita sasa katika vita hakuna kuoneana huruma ni mapambano mpaka ushindi uje.

Bado kuna mapungufu mengi upande wa madaktari, hakuna ulinzi kwa viongozi na nchi ishaharibika. Wahuni ndio wanachukuaga hatua za namna hii ukizingua kuna vikosi vya kukodi manzese nasikia, unabanduliwa halafu kipondo.

Sasa kama madaktari wako vitani wapunguze maneno na ngojera, vita ni vita mura!

Pumbaf wewe mungu aendelee kukupunguzia akili
 
Mkubwa hata mimi nakuunga mkono na nimeshaongea sana hapa jf.Suala la mgomo ni la madaktari wote nchi nzima,yeye anaitwa na watu asiowafahamu,anaenda na rafiki yake!!!Ina maana hii issue imekuwa ya kirafiki??Nadhani huyo Dr Ulimboka alikuwa anafikiri atapewa mlungula.Na kama alifikiri hivyo ina maana anaweza kupokea mlungula na kuwasaliti wenzake.HUYO HAFAI KABOSA NI MSANII NA MCHUMIA TUMBO TU.ANAFANYA SIASA AKITAKA ATUMIE MGONGO WA MADAKTARI KWA MASLAHI BINAFSI.

Sikufahamu ila kwa huu ***** wako ulaaniwe unafikiri dr ulimboka wa level yako wewe kuweza kumsoma kwa nini anafanya nini

tunaomba mungu awalaani watu kama nyie....
 
Kumbukeni madaktari wameanzisha vita sasa katika vita hakuna kuoneana huruma ni mapambano mpaka ushindi uje.

Bado kuna mapungufu mengi upande wa madaktari, hakuna ulinzi kwa viongozi na nchi ishaharibika. Wahuni ndio wanachukuaga hatua za namna hii ukizingua kuna vikosi vya kukodi manzese nasikia, unabanduliwa halafu kipondo.

Sasa kama madaktari wako vitani wapunguze maneno na ngojera, vita ni vita mura!

JF kuna vichwa vya kila aina.
 
Dr. Klinton yasikutoke mapovu kwa kujibu kila hoja usiyopenda na kutukana zingine ni fact unapaswa kuwa nazo na kuzisikia sio watu wote wanasema ndio bwana. Hata kwa mungu kuna malaika na mashetani, na JF hivyo hivyo hapa unachanika kwa hoja tu!

Thinker they also think either way if not 360 degree!
 
Jamani tusiegemee upande mmoja tupanue sana upeo kwa kufikiria dr ulimboka anaweza akawa hata kafumaniwa na mke wa mtu wakamkamata na kumpa kipigokile cha fumanizi tuache polisi wafanye kazi kwanza.
 
[h=6]madaktari.
Washenzi kabisa.
Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

Uzalendo unahitajika!

Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.[/h]
 
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
 
Back
Top Bottom