CCM: Mahakama ya Kadhi Ruksa kwenye katiba mpya

Duh, vyama vya siasa vya kidini! Uraisi wapokezane waislamu na wakristo! Sheria ya ugaidi ifutwe! . . .dah, kweli mwenye akili na mjinga hujulikana kwa maneno yao
 
Dah! Haya mapendekezo ya huyu shehk ponda kama yana uchochezi fulani hivi? Polis wa intelejensia hebu fanyeni kazi yenu kama mlivyofanya kwa Nassary,
ha ha ha ha
Daima huwa ninafikiri kuwa Tanzania inaheshimu uhuru wa mtu kutoa mawazo yake!......unawatisha wengine kutoa mawazo yao sasa.
Simjui Sheikh Ponda na mawazo yake ameyatoa kama Sheikh Ponda! zijadiliwe hoja zake kwa hoja badala ya kukashifu "Waislamu waende shule", wanaozesha watoto wadogo kwa ajili ya pilau n.k
 
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!

Nakubaliana na mtoa Mada kwa maana kwamba thread yake inalenga kukumbushia kile kilichokuwa kimewekwa kwenye ilani yenu ya CCM 2005/2010 kuhusu uanzishwaji wa mahakama ya kadhi jambo ambalo halina tofauti sana na maoni ya shiekh Issa Ponda = CCM ilani 2005/2010. As simple as that, kama ulikuwa umeshasahau Mr. Nape Nnauye Jr[SUP]2[/SUP].
 
Source Tanzania Daima


Alisema katika jambo hilo wanataka katiba isajili mahakama hiyo, mashauri ya ndoa, talaka, watoto, vifo, mirathi, wosia, wakfu na biashara yasikilizwe na kadhi na bila kutafutwa ridhaa ya mtu au warithi pamoja na mahakama hiyo kuwapa msaada wa nguvu za dola.

Wazo langu si vema sana kushinikiza kile kiwekwe kwenye katiba kile kisiwekwe..

Kwa upande mkubwa jamii kubwa hatujaelewa viongozi wetu wanamaanisha nini kiwekwe kwenye Katiba kuhusu ndoa, talaka, mirathi, wosia na mengineyo. Jamani tuwe Na Moyo Wa kheri wa binaadam, tuambiwe Kwa uwazi ni nini kibadilike Na kibadilikeje? Cha sasa kina kasoro gani Na kitachobadilika kitabadilikaje tuelewe Na jamii yote Kwa ujumla inaweza kuunga mkono bila shaka. Lakini tukiendelea kusema mwanamke Hana HAKI ya Urithi, mwanamke anany'ang'anywa kila kitu mumewe akifa , mwanaume anaongeza wanawake wa kuoa hata Kama uchumi hauruhusu, Kama mambo yataendelea Kua hivi Basi Shekhat wote tutasema Na Katiba itambue mwanamke kumtaliki mwanaume, mwanamke kuandika wosia Na mengineyo..
Mie kila siku nasema tukae tujadiliane mnasema nyie Hamna HAKI ni wa kutawaliwa tu, jamani DUNIA ya utandawazi hii tunaelekea wapi tusipobadili mitazamo..
DUNIA tuliyonayo watu wamechakachua mapenzi halisi ya Dini, wamedidimiza tamaa zao Na mambo Yao Na kutubebesha kwamba ndivyo DINI Inavyotaka . . Jamani hii itakubalika wapi?.. Mbona Mtume ameandika mambo mengi Kwa Ufasaha kwanini wanadamu viongozi wetu mnabadilika, Ogopeni Jehanam ya Moto..wekeni waziwazi nini kibadilike Na kibadilikeje sio kutaka kutukandamizia mbali wengine.. Niko tayari kufungua mjadala wa wazi Kwa yeyote anayetaka kutuelewesha .. Inshallah
 
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!


Nape ninakuja 2015 kila nikifikira nafsi yangu inanituma nije lakini ninajua ni kzi kubwa tena ngumu lakini dawa katika speech ayngu nitakayotoa wakati huo wa kuchukua form itataka moyo maana itasema viongozi wa juu na kuwataka wake kimya ili tujaribu kuiomboa CCM, lakini hao watoto wao wanojiingiza humo kwa sasa wanapaswa kufirikia mara dufu kuwa tunakuja kusafisha chama kwa hiyo wasidhani CCM ni kimbilio lao kuja kuficha au kuendeleza dhambi ya KUWAFANYA WATANZANIA KUENDELEA KUWA MASIKINI!

jana nilikuwa ninasikikiliza siasa za ghana kwa kuwa ninmkubali sana huyu mwana dada nisikia kumbe CPP ya kwame nkruma nusra ifutike katika ramai ya ghana! wana mbunge mmoja tu na sasa MWANE LAKINI ANAJITAHIDI KUKIOMBOA JAPO KIPTATE WABUNGE WENGI 2012!

NAPE HUKO NYUMA NILIKUWA ninakukubali lakini jinsi unayojibu CHADEMA ninakushangaa wewe unapaswa kutaka chadema iwepo ila CCM IAFNYIE KAZI MABADILIKO INAWEZEKANA JAPO WALIOPO MADARAKANI KWA SASA WAMEKISASABISHIA CHAMA KUCHUKIWA KIASI HIKI!

badala ya kujirekebisha nyie mansema mtahahkisha chadema inakufa ndai ya mwaka mmoja ili IWEJE CCM IENDELEE KUVURUNDA HALI YA WATANZANIA NA KUGAWA MADINI YETU KAMA NJUGU HUKU WANBUNGE WENGI WA CCM WAKIKENUA MENO!?

NInakuja 2015 kama miujiza na tutavuka tu mkinikataa !!!?
 
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!



Hon. Samia Nkrumah speech: CPP MARKS POSITIVE ACTION DAY - YouTube


ccm inatakiwa courage ya kukataa dhambi bila kuogopa jk hawezi kukupiga wala kukufukuza kwa sasa ya nini umtumikie! be strong usipende kulipiza visasi chapa kazi niliwahi kukaa na wewe somewhere courtyard ila sikupenda majigambo! ila wewe ni mzalendo lakini baada ya kushika nafasi hiyo unaelekea kuogopa aliekupatia! tumia nafasi uliyo nayo mpunguze madaraka ya chairman katika katiba ya CCM ile wanachama wawe na uhuru wa kuongea na kuomuona chairman kama mungu mtu!
 
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!

Pamoja Mkuu Nape, hawa watu sidhani kama wanatumwa ila nafikiri wana agenda ya kuvuruga mchakato wa katiba kwa kuanza kutoa matamko ya nini kiingie kwenye katiba mpya wakati ni suala la mjadala tume ikianza kuwauliza wananchiwote pamoja na wao kama chama watakuwa na haki ya kutoa mapendekezo yao but not guaranteed kuwa part of the new constitution. Mbaya zaidi wanatsingizia CCM kama upenyo kwa kuwa ndiyo iliyoanzisha hizi sarakasi.

Kila kikundi kikija na madai yake wakati huu basi tutasgindwa na mchakato kuwa failure. Watu wakae na agenda zao au waziweke wazi bila ya kuanza kuonesha ni nani mwenye authority ya nini kiingie wapi na nini kisiingie. Huu utakuwa usanii na ufujaji wa pesa za walipa kodi kwani tukiruhusu haya mchakato mzima utakuwa 'Failed Ab initio'
 
Kwani Waislamu wakianzisha mahakama zao na kuziendesha wenyewe wanapungukiwa nini, mbona wakristu wana mahakama zao na wanaziendesha wenyewe na hawapigi kelele. Je na wao waanze kudai iwekwe kwenye katiba? na wapagani nao? Tutakuwa na mahakama ngapi? Sasa sheria ya ugaidi ikifutwa halafu itawasaidia nini waislamu. Badala ya kulaani ugaidi ambao unatia doa dini yao kwa wale wanaoua watu, hata na waislamu wenzao kwa kutumia kigezo cha dini: MI NAONA WANGELAANI UGAIDI NA KULAANI WALE WANAOTUMIA DINI NZURI YA UISLAMU KWA KUTIMIZA UGAIDI. kufuta sheria ya ugaidi ni kuukumbatia ugaidi!
 
Kwani Waislamu wakianzisha mahakama zao na kuziendesha wenyewe wanapungukiwa nini, mbona wakristu wana mahakama zao na wanaziendesha wenyewe na hawapigi kelele. Je na wao waanze kudai iwekwe kwenye katiba? na wapagani nao? Tutakuwa na mahakama ngapi? Sasa sheria ya ugaidi ikifutwa hala
fu itawasaidia nini waislamu. Badala ya kulaani ugaidi ambao unatia doa dini yao kwa wale wanaoua watu, hata na waislamu wenzao kwa kutumia kigezo cha dini: MI NAONA WANGELAANI UGAIDI NA KULAANI WALE WANAOTUMIA DINI NZURI YA UISLAMU KWA KUTIMIZA UGAIDI. kufuta sheria ya ugaidi ni kuukumbatia ugaidi!
mbona cdm hawalaani ukatoliki kwa kuukumbatia ukatoliki?
 
dosama,
sasa hapa thread yako na stori mbona havina uhusiano???!!! Iko wapi sehemu ya stori inayoonyesha ccm kuruhusu mahakama ya kadhi kwenye katiba??!!!!!!!!unapotumwa, akili za kuambiwa changanya na zako kabla ya kupeleka ulichotumwa!
hapo nimekusifu kaka..watu ni kuelezwa ukweli tuu.......!
 
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!

sema baba

mix with yours
 
Jamani hili suala la mahakama ya kadhi litaigawa nchi bora libaki kama lilivyo, ikiingizwa mahakama ya kadhi kwa ss waislam je na wakristu wakitoka na mahakama yao itakuwaje? nchi itagawanyika kiudini tuangalie nchi ya nigeria ilivyo gawanyika na sisi ndiko tunakotaka kwenda.
 
Heshima kwenu wanaJF!
Nape rightly said the piece of information brought on our attention by DOSAMA doesn't indicate at least in this circumstance that CCM has given a nulla osta for what is called KADHI COURT but at the same time asquintly and myopically he omits the fact that "the introduction of KADHI COURTS" is part of CCM electoral manifesto and according to CCM's rules and obligations every member of that decaying party is obliged to stand for the fulfillment of that manifesto - Nape this is abc of politics and you should know that in consideration of the position you have right now in CCM. Sasa wewe ambaye ni katibu mwenezi waCCM hauyajui haya mimi ninazidi kujiuliza NI VIGEZO GANI VILITUMIKA KUKUPATIA HIYO NAFASI???? Inawezekana ikawa kigezo kikuu kilikuwa ni UMASHUHURI WAKO KATIKA MIPASHO!!!!

In merits, the issue of KADHI COURTS does not deserve any discussion because it's a non-issue, IT'S IMPOSSIBLE IN A SECULAR STATE as I presume Tanzania is, to subject people to different STATE LAWS having as a discriminatory factor their respective RELIGION,TRIBE,SEX,GEOGRAPHICAL LOCATION or dulcis in fundo SEXUAL ORIENTATION. It's completely lame!!!
Sasa tumefika hapa tulipofika katika hili suala, kutokana na policy ambiguity ya CCM - CCM iliwapa matumaini ya UWONGO waumini wa dini ya Kiislamu(most of them do not even care about Kadhi and related stuff!!!) kuwa tupeni kura nasi kama shukrani tutawapatia kupitia mgongo wa serikali hiyo TAASISI YA KADHI - they lied purposely!!!!

Hata MAHAKAMA ZA MWANZO nazo zinakingana na KATIBA maana zinaendeshwa kwa KUFUATA MILA NA DESTURI na ndio maana ADVOCATE haweki mguu MAHAKAMA YA MWANZO( najua jukwaani kuna watu waliosomea sheria wanaweza kutupatia ufafanuzi zaidi)

In a serious nation the bleach of law is BLEACH regardless of your geographical location by the time you "conduct" that offensive/omissive act. Sasa kwa kuwa desturi na mila zinatofautiana kutoka sehemu moja kwenda nyingine basi hata hizi hazipaswi kuwepo - they are nothing but colonial remnants and this is the right time to get rid of them.
 
Hovi CDM au CUF wanguwa zanzibar ndo wanahamasisha CCM mngefanyaje?
 
Hivi CDM au CUF wanguwa zanzibar ndo wanahamasisha CCM mngefanyaje? Inavyojulikana ccm mko nyuma ya haya yote yanayotokea
 
Back
Top Bottom