Daima huwa ninafikiri kuwa Tanzania inaheshimu uhuru wa mtu kutoa mawazo yake!......unawatisha wengine kutoa mawazo yao sasa.Dah! Haya mapendekezo ya huyu shehk ponda kama yana uchochezi fulani hivi? Polis wa intelejensia hebu fanyeni kazi yenu kama mlivyofanya kwa Nassary,
ha ha ha ha
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!
Source Tanzania Daima
Alisema katika jambo hilo wanataka katiba isajili mahakama hiyo, mashauri ya ndoa, talaka, watoto, vifo, mirathi, wosia, wakfu na biashara yasikilizwe na kadhi na bila kutafutwa ridhaa ya mtu au warithi pamoja na mahakama hiyo kuwapa msaada wa nguvu za dola.
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!
Kenya wameifutilia mbali hiyo kadhi, ktk katiba yao mpya hakuna hiyo kitu!.
mbona cdm hawalaani ukatoliki kwa kuukumbatia ukatoliki?Kwani Waislamu wakianzisha mahakama zao na kuziendesha wenyewe wanapungukiwa nini, mbona wakristu wana mahakama zao na wanaziendesha wenyewe na hawapigi kelele. Je na wao waanze kudai iwekwe kwenye katiba? na wapagani nao? Tutakuwa na mahakama ngapi? Sasa sheria ya ugaidi ikifutwa hala
fu itawasaidia nini waislamu. Badala ya kulaani ugaidi ambao unatia doa dini yao kwa wale wanaoua watu, hata na waislamu wenzao kwa kutumia kigezo cha dini: MI NAONA WANGELAANI UGAIDI NA KULAANI WALE WANAOTUMIA DINI NZURI YA UISLAMU KWA KUTIMIZA UGAIDI. kufuta sheria ya ugaidi ni kuukumbatia ugaidi!
Nani amekuambia? Kumbe hata kusoma hujui aisee, ni aibu. Mtafute mtu akusomee katiba ya kenya
hapo nimekusifu kaka..watu ni kuelezwa ukweli tuu.......!dosama,
sasa hapa thread yako na stori mbona havina uhusiano???!!! Iko wapi sehemu ya stori inayoonyesha ccm kuruhusu mahakama ya kadhi kwenye katiba??!!!!!!!!unapotumwa, akili za kuambiwa changanya na zako kabla ya kupeleka ulichotumwa!
Dosama,
SASA HAPA THREAD YAKO NA STORI MBONA HAVINA UHUSIANO???!!! IKO WAPI SEHEMU YA STORI INAYOONYESHA CCM KURUHUSU MAHAKAMA YA KADHI KWENYE KATIBA??!!!!!!!!UNAPOTUMWA, AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO KABLA YA KUPELEKA ULICHOTUMWA!