Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Yea, wakati heading ya hii thread inasema: "Mh. Mwigulu Nchemba: Tuhuma dhidi yangu hazina ukweli wowote"
Huyo "yangu" ni nani?
Hiyo inaitwa Freudian Slip, kujikuta unasema ukweli bila kukusudia. Jamaa yetu alikusudia ieleweke kuwa "sredi" si yake bali ni ya mwingine (na kumbuka kuwa huyo mjumbe "mwingine" aliisoma thread kabla ya kujiunga na ikamkereketa hadi akajiunga leo kumtetea mbunge)!
Ndio maana mimi nina ID moja tu!