Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Maneno hayo yamesemwa na Nape akiwa huko Bukoba. Sijui alikuwa anafurahisha nafsi au alikuwa anataka kuonyesha kuwa kwa cheo alichonacho hawezi tena kwenda South kuchukua rasimu ya Katiba for CC...!
Source: Taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu ITV
Achana na Vuvuzela huyo muulize chama cha Jogooo KANU kiko wapi na hao walikuwa na nguvu kuliko hichi chama cha mafisadi. Halafu aulizwe CCJ ilikuwaje yeye si alikuwa muanzilishi?