Marekani waliamua kudondosha Atomic Bomb baada ya Japan kuzishambulia meli zaidi ya 6 za wamarekani zilizokuwa zikitoa war supplies kwa nchi washirika wa marekani hizi meli zilizamishwa pale Pearl Harbour, Kutokana Wajapan kuwa wabishi ndipo Marekani wakaamua kuufata ushauri wa Myahudi Mmoja...
Theory ni nyingi sana juu ya kifo cha PAC ila ni kwa nini Suge Knight alimwambia pac waende kwanza kwake? Na kwa nini pia Suge Knight alishawish Pac amruhusu body guard wake akaendeshe gari lingine?
Dada Eva,kwimba kubwa labda useme Ngudu,,Muamala na baadh ya Maeneo machache ndo kuna maji ya ziwa victoria maeneo Mengi maji ni ya shida sanaa,,Mfano hapo Hungumalwa Maji ni ya kununua kwe matorori tena yenye chumvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.