Recent content by mnyakarema

  1. mnyakarema

    25 Oktoba kumchagua Lowassa

    CCM wanamshitaki Mh LOWASA kwetu wananchi kuwa ni mwizi baada ya wao kushindwa kumu hukumu: Sasa basi hukumu yetu sisi wananchi ni october 25: Ambapo sisi wananchi tutamfunga miaka 10 IKULU; Pamoja na adhabu kali ya kututumikia sisi wananchi kwa kutupa elimu ya uhakika, huduma za afya bora na...
  2. mnyakarema

    Ridhiwani Kikwete ataja 11 wanaotosha kugombea urais 2015

    Jamani mbona Hajamtaja mtu Ambae anatarajiwa kuwa ndio kiongizi msafi asie na makundi,ambae watu wengi wanatajia kuwa ndio atakuwa mrithi wa kikwete ambae ni Mh waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Peter Pinda.
  3. mnyakarema

    Mwigulu Nchemba avuliwa skafu na Spika!

    Jamaa kazidi,anajifanya anathamini sana serikali na ccm,wakati toka awe naibu waziri,walimu na wafanyakazi wa hospilal wanacheleweshewa mishahara yao.
  4. mnyakarema

    Bungeni pawaka: KURA YA SIRI vs KURA YA WAZI

    hakuna kura ya wazi, kura ya siri ndio mpango mzima.
  5. mnyakarema

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    kama ulikuwa hujui nini ZITTO ZUBERI KABWE,alichoshitaki mahakamani,kaa kimya mtatuumiza vichwa bure sasa.
  6. mnyakarema

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    Jamani mmeanza kusahau hii vita chanzo chake, chanjo ni Zito Kabwe kuonyesha nia ya kuwa mwenyekiti wa taifa wa chadema ndio vita inaendelea Je kama zito angesema siku nyingi Habari hizi za mbowe kupokea pesa kwa vigogo wa CCM ingekuaje kwa zito, kuweka nia ya uenyekiti yamemkuta haya!
  7. mnyakarema

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    Zitto Kamjibu Lisu, kama kweli Mkono kamwambia alimpa magari mawili basi Mkono huyohuyo atakuwa kamwambia Na Mbowe alishampa pesa nyingi tu Mbowe mnaanza kuhoji kuwa Zito hakusema siku nyingi, amesema sababu Tundu Lisu kaambiwa aseme ya mkono, kwanini hakusema ya Mbowe kupewa pesa na Mkono?
  8. mnyakarema

    Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

    Zitto Zuberi Kabwe, ni mwanachama mkongwe katika chadema kuliko hao vibaraka waliongia juzi chadema kutoka vyama vingine, zito si msaliti bali hawa wageni wa juzi walioingia chadema kufata madaraka. kila chama kina ukomo wa nafasi ya uenyekiti, sasa hawa wachaga wanataka tena mwenyekiti atoke...
  9. mnyakarema

    Zitto Kabwe Asifike katika eneo letu... Zitto asizungumze na watanzania, Period!

    mimi natangaza nia leo ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, naomba mnisapoti, mbowe lazima nimpige chini!
  10. mnyakarema

    Wabunge watafuna Posho hovyo! CCM, CHADEMA wote washiriki mchezo mchafu

    Na yule Hawara wa Mbowe Joyce Mukya na yy arudishe posho zote za kwenda dominica.,sababu alirudishwa Dubai na bwana yake Mbowe ili watanue kwa pesa za serikali,
  11. mnyakarema

    Shaa afunguka mengi kuhusu mapenzi yake na Master Jay

    Nyie mnao post ujinga kama huu, ndio mnasababisha kila siku mtu kusema mambo ya kwake kwa watu wengine, ya kwake binafsi yanatuhusu nn cc, muwe mnapost mambo ya maana kila siku mnapost mambo ya umbea tuu, mnawapa kichwa hawa madada zetu wasiotulia.
  12. mnyakarema

    Hizi ndo picha za jamaa aliyepofuliwa macho kwa kutembea na mke wa Polisi

    huyo jamaa aliefanyiwa unyama na polisi wa chang'ombe, na Hakuna ushahidi wowote, juu ya tuhuma kama alitembea na huyo mke wa polisi,aliemfanyia hivi yupo, kinachotakiwa ni kwenda mahakani ili kila mtu alete ushahidi wake, huyu jamaa alisha sema kuwa polisi walimpiga na kumwagia tindikali...
  13. mnyakarema

    Mwanamke alimnyima lift Ufoo Saro! Unaichukuliaje hali hii?

    amaa kweli duniani kuna watu na viatu, unashindwa kumsaida mwanamke mwenzako, na hali yake umeiona akivuja damu! mataizo ya binadamu yanamkuta yeyote chini ya juwa. pole sana dada Ufoo, Inshaalah mwenyezimungu atakusaidia.
  14. mnyakarema

    Wanaojadili taarifa za magazeti kwenye kipindi cha Tuongee Asubuhi walioko Mwanza hawasemi ukweli

    sasa hizi polise wanafanya kazi kwa kufata yalioandikwa na magazeti, hii ni hatari sana.
Back
Top Bottom