mnyakarema
Member
- May 27, 2013
- 16
- 11
kama ulikuwa hujui nini ZITTO ZUBERI KABWE,alichoshitaki mahakamani,kaa kimya mtatuumiza vichwa bure sasa.
Mkuu Mkirindi hizi siasa isiwe chanzo cha kukoseana heshima kiasi hiki, tunaharibu JF yetu wenyewe.Kigeugeu wewe, Kama sio ushindi ni nini huo. Kama hapakuwa na kesi hapo nini kilichowapeleka mawakili wa cdm watatu, na hilo genge lenu la wanywa gongo. Mbona mnakuwa kama malaya sugu
tena apitishwe na kamati kuu bila kupingwazito sasa ni mwenyekiti wa chadema
Acha matusi kama hauna la kusema si upite tuu!Chadema maji,,,,,,nyie mavi
Sasa kashinda nini wakati alitaka mahakama izuie asijadiliwe?
Halafu baada ya hapo ndo atakuwa nani ndani ya CCM
umeniacha hoi hoi... subiri Mbowe akusikiehahahahahahahahahahaha......
Zito sasa ni mwenyekiti wa chadema
nani zito??hajashinda,ila pingamizi lake limekubaliwa!