Recent content by mnumbwangu

  1. mnumbwangu

    Ni uhaba wa maji Kenya au tabia tu

    Hawa ni wachafu kifupi whites wa wapi hao , hotel ulaya zina bomba la kujisafisha , plus tissue hata kwenye nyumba zao...UNAKAA NA DEMU KWENYE MATATU ANATOA HARUFU KALI BALAA
  2. mnumbwangu

    Ni uhaba wa maji Kenya au tabia tu

    Ukiwa mgeni katika nchi ya hawa majamaa especially kwa sisi WATANZANIA, ambao ni watu waastarabu na wasafi kwa huo ukanda wa afrika mashariki. HATA KAMA UMEFIKIA HOTEL UNALIPA MILION YA KITANZANIA CHOONI HAKUNA BOMBA LA KUJISAFISHIA UKIMALIZA HAJA KUBWA NI MWENDO WA MA TISSUE PAPER TU, yaani...
  3. mnumbwangu

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    Please th bold naomba na mimi uwe una nitag
  4. mnumbwangu

    Nyandu Tozi aka Dogo Hamidu unasema??

    Hii ishu ilikua inaenda kimya kimya si watoto wa kino tunajua hali halisi , wana kibao sasa wamepotezwa ....KIBWETELE KIMYA ILIKUA AKIDANDIA LEO SAA NNE SAA NNE NA NUSU KASHATOKA , LEO NADHANI UNAENDA MWEZI WA NANE SASA AKIELEWEKI kanyaga twende magufuli
  5. mnumbwangu

    Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

    Edo kumwembe umeandika article moja safi sana , hapa manyanya ndo maskani yake anakuaga na lord eyes wa nako 2 nako sema yeye lord garo bado haijawaka vizuri u smart u smart bado upo lakini mwili ndo unaisha sasa ,
  6. mnumbwangu

    Uchumi unaanguka wakati Barclays wanafungua matawi nchini!

    Na hawaja renew mikataba ya wafanyakzi kibao tu hali ya uchumi ni mbaya
  7. mnumbwangu

    Uchumi unaanguka wakati Barclays wanafungua matawi nchini!

    Walichokifanya Barclays bank ni kufanya branc merging hali yao ni mbaya sana wamefunga tawi la kinondoni pale karibu na kinondoni muslim, mwenge , na pale mikocheni chama wameshindwa kuendesha ndo wamefungua tawi ilo moja ... mimi ni client wao na nikifanya mihamala yangu sana hapa kinondoni na...
  8. mnumbwangu

    Lebo ya WCB kuchoma gari moto!!?!

    Makafara ya mwisho wa mwaka hayo .... na mtakuja kuniambia hapa leo lazima afe mtu au watu pale jangwani see breeze , mungu ninusuru na hizi pesa za mashetani
  9. mnumbwangu

    Unga umezima ndoto za hawa wasanii wa kizazi kipya ninaowafahamu

    Q chief , anashinda mwananyamala pale hospital kwa mbele maarufu kwa mapilau kwisha kbisa nae ahsante unga
  10. mnumbwangu

    Mwigulu aruhusu kusafishwa kwa watendaji wasio waaminifu ndani ya Benki Kuu (BoT)

    Uchaguzi unakaribia mengi tutasikia yasiyo ya kweli !! Kwa sie waelevu tunaojua mfumo unavyofanya kazi tumetulia kimya tunafanya yetu
  11. mnumbwangu

    Rose Muhando atumia madawa ya kulevya

    Mkuu nkuwi unaposema msama ni system una maanisha nini au ni hivi tunavyoelewa mtaani huku ukisema jamaa ni system una maanisha ni mtu wa usalama wa taifa !! We una maanisha nini ??
  12. mnumbwangu

    Hii hali TANESCO haivumiliki

    Nili miss sana mgao big up muhongo aluta continua
  13. mnumbwangu

    Mgao wa umeme Morogoro na Mikoa mingine

    Dsm the same mgao sema tuli u miss sana!!
  14. mnumbwangu

    Kipindi gani cha redio na mtangazaji wake ilikuvutia sana?

    Masoud kipanya, fina mango wakati wapo kwenye ubora wao hapo na dogo gerald hando anasoma magazeti tu na vionjo basi da jamaa walikua wakali sana
Back
Top Bottom