Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
Sidhani kama hicho bado ni kipimo cha kuona kuna kukua kwa uchumi. Upo mfano mzuri kuwa Baclays wanaweza kuwa na tawi moja kubwa lenye wafanyakazi 100, kisha wakaamua kulivunja na kufungua matawi matatu ndani ya mji huo huo yenye watumishi 25 kila moja na kupunguza watumishi kwenye ajira 25.Mimi furaha yangu kila siku ni kusikia habari kama hizi......
Sio Mara bank imefirisika,Mara viwanda vimepunguza wafanyakazi...........
Nikisikia taarifa ya uwekezaji mpya ndio furaha yangu.......
Nikisikia kampuni imefirisika ndio hasira zangu...........
Tupende kufurahia mazuri na kukosoa mabaya sio kila kitu kusifia au kila kitu kukosoa........
Hicho kitendo hata kama mtasema sasa Benki ina matawi matatu badala ya moja kiukweli lazima kuna jambo nyuma yake kuhusu maendeleo ya benki hiyo na athari nyingine ni kuwa ajira 25 zimepotea