mzee wa ngada
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 693
- 291
Hii mada imekaa na watu wabaya ngoja niende chimbo nikale zangu ngada Wambea wengi humu. Wametumwa sijui. Unapotoa maneno yenu mujiandae na sheria ya uchochezi.
Mkubwa wao ni yule chcha....mrefu ndy anawa control wakina hamidu na kuwapa mitkasKondakta Mbona Kamuacha Young D??????
Time will tell..hivi kumbe ni siri eeee....ni suala la muda tu atakiona kimbembe!
Kwani kunanini?
Ngoja nipite kimyakimya kuna Guzman kadakwa nini?Kuna msala hapa,kacha man!!
Siku emba Anachukuliwa pale mm nlikuwepo kwenye grocery Ile pembeni ya saloonHii ishu ilikua inaenda kimya kimya si watoto wa kino tunajua hali halisi , wana kibao sasa wamepotezwa ....KIBWETELE KIMYA ILIKUA AKIDANDIA LEO SAA NNE SAA NNE NA NUSU KASHATOKA , LEO NADHANI UNAENDA MWEZI WA NANE SASA AKIELEWEKI kanyaga twende magufuli
Funguka Mkuu Ova....Ngada bado ipo kweli Kino?Siku emba Anachukuliwa pale mm nlikuwepo kwenye grocery Ile pembeni ya saloon
Picha yote niliona...... Dogo yule kamponza mama yke tu........... Na mama yake siku Ile alitakiwa kuwa mpole awaache wazee wafanye Kazi yao
Ova
Nmetoka Kino muda tuFunguka Mkuu Ova....Ngada bado ipo kweli Kino?
Nmetoka Kino muda tu
Ila ksema ukweli uzaji umepungua na kama unauzwa ni kwa kificho
Ova
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kweli maisha ni zaidi ya ujuavyo. sasa hivi dogo hamidu anamtuma mr.blue kama mtoto wake vile dah!..pesa ni kitu kingine. eti "ulikuwa wapi hadi sa hizi eeh? si ninakuuliza wewe blue". hahahaaa...!!
DuhMizigo inasambaziwa ubungo stand ya mkoa ndio mateja hufuata asubuhi
alikamatwa na mzigo??Siku emba Anachukuliwa pale mm nlikuwepo kwenye grocery Ile pembeni ya saloon
Picha yote niliona...... Dogo yule kamponza mama yke tu........... Na mama yake siku Ile alitakiwa kuwa mpole awaache wazee wafanye Kazi yao
Ova
acha fixKweli maisha ni zaidi ya ujuavyo. sasa hivi dogo hamidu anamtuma mr.blue kama mtoto wake vile dah!..pesa ni kitu kingine. eti "ulikuwa wapi hadi sa hizi eeh? si ninakuuliza wewe blue". hahahaaa...!!
Noma sana!Kweli maisha ni zaidi ya ujuavyo. sasa hivi dogo hamidu anamtuma mr.blue kama mtoto wake vile dah!..pesa ni kitu kingine. eti "ulikuwa wapi hadi sa hizi eeh? si ninakuuliza wewe blue". hahahaaa...!!