jamani salama kwakweli tokea niwaone watanga walivyo mpoke mh.lowasa jana sasa natamani niende nikaishi tanga nikaoe na kujenga tanga ivyo naomba kujua bei ya kiwanja maeneo ya mjini kusiwe mbali na mjini chenye ukubwa wa mt.20 kwa 20 na kujua pia bei ya kupanga duka apo mjini ni bei gani kwa...
sasa kwa kuona jana uko tanga walivyo mpokea mh.lowasa kwa kweli nimewapenda natamani nikaishi kujenga na kuoa mke wa tanga sasa embu nipeni bei ya kiwanja sasa chenye ukubwa wa mt.20 kwa 20 apo mjini au pembeni yake kidogo nataka kujua pia maduka ya apo mjini linakodishwa bei gani kwa mwenzi...
uyu zito abari yake kwenye siasi ndio ivyo tena keshapitwa na pesa nazo zimemwishia tayari ivyo tunasubiri bahada ya risasi yake ya mwisho kwenye ubunge anaangukia pua alafu aendae zake akatafute kitu kingine cha kufanya
kwa ujumla ngoja nitoe picha ya kisiasa apa ar.ili mtu ambae akai ar. Aelewe kuna nini ni ivi ar. Akunaga ccm ukikuta m2 anashabikia ccm uyo ujue ni mpangaji kwenye nyumba zao apa mjini za kibiashara au yupo kwenye sistimu na pia ata ar. Lema ajafanya chochote toka achaguliwe na wananchi...
aliye anzisha hi stori kwanza inawezekana akawa yeye sio mwanaukawa pili analengo baya mahana uwezi mfananisha binadamu yeyote wa dunia ya leo na mtume muhad pili ata sisi wapenzi na wakereketwa wa Raisi wa awamu ya tano mh. Lowasa inafaa tuwakanye watu kama awa ambao inaonekana lengo lao sio zuri
sasa apo ni sifa lowasa punguza misifa na wewe du sasa ngoja uyo pombe tunamsubiria ar. Aone atakavyo toka na aibu maana sisi uku tunakula pesa za magambazi na kwenye mkutano wake tunaenda kumpigia pipooooz pawaaa za kutosha na kura azipati ng,o
uyu alianzisha uhu uzi lazima atakuwa ni demu wa makufuli na atakuwa lazima ajaishi tz miaka ya ivi karibuni wala aijui arusha uyu ccm uku akunaga wamebaki wapangaji ndani nyumba ambazo ccm wanadai ni zakwao ila natumaini lowasa atalifanyia kazi baada ya tr.25
Huyu Slaa sasa sijui ataenda wapi maana hata akifanya biashara najua awezi sasa labda akafuge nguruwe na machatu kule karatu na mimi najua uyo demu wake lazima atamkimbia tu akatafute bwana mwingine.
gwajima nimemkubali na nimemuelewa vizuri sana ila wale wanao fanya siasa uchwara kutoka kwa wakoloni na chama chao cha kifisadi watajifanya awajamuelewa na ndio wanabisha uku ila wajue mwaka huu watakabizi madaraka kwa mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.