HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 551
Niko njiani kwenda Arusha kuhudhuria Semina za kiwakili na Mkutano wa nusu mwaka wa Mawakili utakaofanyika tarehe 26 mwezi huu. Nitakuwa Arusha hadi Jumapili ijayo.
Uwepo wangu Arusha utanipa fursa ya kuona hali ya kisiasa ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema dhidi ya Monaban wa CCM kuelekea uchaguzi wa Oktoba 25. Hodini wanaJF wa Arusha.
arusha wameshasahau hii kitu inaitwa ccm ukiongelea hiyo unawatonesha vidonda