Zitto, Kafulila washambuliana

Zitto, Kafulila washambuliana

Zitto anapenda sifa sana..........kumbuka alipokuwa cdm hoja ya posho aliifanya yake ili aonekane yeye kwanza mda si mrefu ataanza kuwatibua huko act watakapoacha kumhabudu.......
 
Zitto aache kupambana na wadogo zake, kwanza anajionyesha kama mtu wa kujisifu, Kafulila katengenezwa na Mungu na siyo Zitto, yeye kama alimsaidia kwanin alete mashambuliz!? Kwani ni lazima kuhamia ACT?

umesoma kweli hii thread au unakutupuka tu ni mihemko
 
Dah alfu hyu zitto ndio alitaka kuwa mwenyekiti wa CHADEMA ? kiongozi mkuu wa chama hapaswi kuwa hivi na kejeli za namna hyo.Yaan Prof Kittila mkumbo ndio mfuasi wa huyu bwana ? Na kwamba ameshindwa kumrekebisha kabisa.Kwa dharau hizi za zitto na ACT akina maisha marefu
 
uyu zito abari yake kwenye siasi ndio ivyo tena keshapitwa na pesa nazo zimemwishia tayari ivyo tunasubiri bahada ya risasi yake ya mwisho kwenye ubunge anaangukia pua alafu aendae zake akatafute kitu kingine cha kufanya
 
zitoo kamwe hata kuja kaa chini ya mtu asilani,kiongozi mkuu
 
Acha upuuzi kulinganisha mambo ya Mungu na huyo fisadi wenu...tambua Paul baada ya kukutana na Mungu ALITUBU NA KUPELEKWA JANGWANI MIAKA MITATU NA NUSU..KULE ALIKUWA ANATOLEWA UJINGA WOTE NDO AKARUDI KUONANA NA MITUME
SWALI: NI LINI LOWASA ALITUBU AKAKIRI KUHUSIKA NA RUSHWA UFISADI MKUBWA HAPA NCHINI??? SIKU ZOTE ANAJIHESABIA HAKI KUWA HAKUFANYA WAKATI HATA MITI NA NDEGE WANAJUA NI FISADI TANGU ENZI ZA NYERERE..ISITOSHE NA WW BADALA YA KUMWAMBIA ATUBU UNAMPIGIA CHAPUO KUWA YUKO SAHIHI..Kitu kama hukijui usiongee unajidhalilisha...

Kutofautiana hoja usimwite mtu mpumbafu jenga hoja na usilazimishe mtuhumiwa kuwa na hatia hii ni nchi ya sheria
 
Zitto ana laana ya mama yake haiwezekani kjifanya yeye ndio kijogoo na kwamba amekamata kigoma atalia kilio cha mba 25 pale atapokosa hata mbunge mmoja kigoma
 
Tatizo Zito ni mbinafsi, mnafiki, muongo na anapendwa kuabudiwa
 
Katika watu wa Hovyo wewe ni No.1
Je? Baada ya kuondoka Lowasa ccm Rushwa na Ufisadi umeisha?
Kama ndiyo.
Je? Chenge, Mwambalaswa, Prof. Muhongo, Prof. Tibaijuka, Ngeleje na Mkapa Kiwira si Mafisadi na Wala Rushwa?
Kama ndiyo.
Je? ilikuwaje wahusishwe na Escrow na Kiwira?
Je? Kwanini Magufuli anahusishwa na Ufisadi wa kuhonga Nyumba?
Je? Bado unaimani na CCM au ni sehemu ya wanufaika?

una ushahidi? au ukisikia maneno unabeba tu kama gari la taka na kuja kutukana watu huku......!!!!!!!!
 
una ushahidi? au ukisikia maneno unabeba tu kama gari la taka na kuja kutukana watu huku......!!!!!!!!

Unakataa wakati wenyewe wamekiri kuwa billion 1.6 ilikuwa ya Mboga tu? kweli uko serious?
Una nia njema na Nchi hii wewe?
 
Ukawa wabunifu! tangu lini. Labda wale wa zamani, lakini hawa waliokuja na lowassa wanachobuni ni kudanganya kama walivyofanya tanga jana, mgombea kazidiwa wanasingizia uwingi wa watu
 
Back
Top Bottom