Tukio hili lilitokea jana kivukoni Busisi,
magari yakiwa yamejazana kivukoni hapo,yakitokea Sengerema,Geita na sehemu zingine uelekeo huo yakiwa mengi yao yakielekea mjini Mwanza. Mara kivuko hicho kilisimama takribani zaidi ya saa moja na nusu huku madreva na abiria kujojua ni sababu gani. Mara baada ya muda gari la mkuu wa mkoa likaja akiwa anatokea maeneo ya Sengerema kuelekea Mwanza. Hapo ndipo tafrani ilipotokea, madreva wote waligoma kuingiza magari yao kwenye kivuko wakisema mvusheni huyo alietuweka muda wote huu. Ikabidi kivuko kimvushe mheshimiwa mkuu wa mkoa peke yake ndipo kirudi kuendelea na malofa na wapumbavu.
kumbe malofa wakijitambua ni hatari sana sababu wao ni kama they have got nothing to loose!!!
magari yakiwa yamejazana kivukoni hapo,yakitokea Sengerema,Geita na sehemu zingine uelekeo huo yakiwa mengi yao yakielekea mjini Mwanza. Mara kivuko hicho kilisimama takribani zaidi ya saa moja na nusu huku madreva na abiria kujojua ni sababu gani. Mara baada ya muda gari la mkuu wa mkoa likaja akiwa anatokea maeneo ya Sengerema kuelekea Mwanza. Hapo ndipo tafrani ilipotokea, madreva wote waligoma kuingiza magari yao kwenye kivuko wakisema mvusheni huyo alietuweka muda wote huu. Ikabidi kivuko kimvushe mheshimiwa mkuu wa mkoa peke yake ndipo kirudi kuendelea na malofa na wapumbavu.
kumbe malofa wakijitambua ni hatari sana sababu wao ni kama they have got nothing to loose!!!