ni sahihi kbs mkuu na changamoto nyingine ni kuwa media player ya Hisense haina option ya kuongeza subtitle kama ilivyo kwa VLC pindi unapokuwa unaangalia movies
wakuu heshima yenu,naomba msaada wa kueleweshwa ni namna gani naweza kuinstall vlc media player katika hisense ambayo ni smart tv? kwa maana haina playstore hivyo siwezi kudownload adroid based programs!
Natanguliza shukrani.
kama kuna mtumishi yoyote ambae anaweza kumlaumu mama samia atakuwa hajitambui hata kidogo,kwa kifupi mama samia ni mkombozi na kimbilio la wafanyakazi,kwa kipindi chake kifupi kafanya mambo mengi sana muhimu na makubwa kwa wafanyakazi ambayo moja kwa moja yameenda kuongeza net income au take...
Habari nimepitia thread kadhaa nimeona wadau wengi wantatizwa kwanini urusi mpaka sasa hajachukua action zinazoonekana za kumsaidia iran katika vita yake na izrael,na wengine wameeda mbali na kumuita urusi ni mnafiki na pia kumuona ni mbinafsi na wengine wakihusisha kuwa mrusi sio wa kumuamini...
Ndugu zangu watanzania hakunaga hela nyepesi fanyeni kazi,kama mnataka fedha izae bila ya kutoa jasho fungua fixed account,nunua hisa au bond hizi njia nyingine mtakuja kuliwa vichwa mtuletee malalamiko na kuomba msaada wa serikali
kwa mtu ambae anafikiri sawasawa hii vita haina udini,ila ukitumia ubinaadamu zaidi unapata jibu kweupe,kama ni ishu ya udini nchi nyingi za kiislamu zipo against palestine at all ,angalia misri,jordan,saudi arabia n.k(japo huwa msimamo wake hubadilika badilika) alafu nenda kaangalie nchi...
lets discuss with common sense then,unafahamu kuwa eneo alilovamiwa israel october 7 kwa recognition ya international boundaries na UN ni eneo la palestine, hvyo hoja ya kwanza raia wa israel hawakutakiwa kuwepo walipokuwepo illegally,pili unafahamu kuwa kabla ya october 7 zaidi ya wapelestine...
hakuna mwanaume ambae anaweza kuwa na tatizo la nguvu za kiume na ashindwe kulitibu,zifuatazo ni njia ambazo unaweza kuzitumia kutibu tatizo hilo
1-badilisha mindest yako-hiki ndicho kichocheo kikuu cha tatizo hili wengi huwa na mawazo kuwa wana upungufu wa nguvu za kiume na hatimae hata kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.