Recent content by Mndengereko

  1. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    natafuta mdau wa kucheza nae games online kwenye console ya PS 4 ima liwe GTA 5,au FC 26 au Call of Duty,karibuni DM
  2. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Marekani yaomba Ceasefire kwa masaa 48, Iran yakataa

    i was thinking the same,ila mosi angalia irana anapambana na nani? kumbuka ni marekani hivyo tukubaliane sio kila nchi ingekuwa imeweza kumdindia marekani mpaka muda huu,pili kumbuka kwamba dege imeanguka milimani na pilot nae yupo huko milimani ila urahisi wa mareani kumpata pilot wao ni kwa...
  3. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    hawa mauritania na madagscar hata wakiungana naamini tunaweza kuwafunga kabisa kabisa
  4. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi kuinstall vlc media kwenye hisense smart tv

    itabidi tu nifanye hivyo ninunue android TV box,sina ujanja
  5. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi kuinstall vlc media kwenye hisense smart tv

    ni sahihi kbs mkuu na changamoto nyingine ni kuwa media player ya Hisense haina option ya kuongeza subtitle kama ilivyo kwa VLC pindi unapokuwa unaangalia movies
  6. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi kuinstall vlc media kwenye hisense smart tv

    kama haujui piga buyu
  7. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Je, Simu Yako Inakupeleleza Bila Wewe Kujua? Hizi Ndizo Settings Hatari Unazopaswa Kuzima MARA MOJA!

    kwa hakika amecopy kutoka AI ameshau tu kufuta hayo maneno,pole yake
  8. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi kuinstall vlc media kwenye hisense smart tv

    wakuu heshima yenu,naomba msaada wa kueleweshwa ni namna gani naweza kuinstall vlc media player katika hisense ambayo ni smart tv? kwa maana haina playstore hivyo siwezi kudownload adroid based programs! Natanguliza shukrani.
  9. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Tujifunze machache kuhusu umeme wa mwilini unavyoweza kukusaidia kuishi au kukuharibu mazima

    hizi ndizo nyuzi ambazo ilifanya JF KUWA TOFAUTI NA SOCIAL MEDIA NYINGINE,Im glad today i have found,hongera mleta uzi kuna mengi nimejifunza
  10. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Mishahara mipya: Samia Kaongeza Tsh. 90,000 tu basi! hii ni dharau sana kwa wafanyakazi

    kama kuna mtumishi yoyote ambae anaweza kumlaumu mama samia atakuwa hajitambui hata kidogo,kwa kifupi mama samia ni mkombozi na kimbilio la wafanyakazi,kwa kipindi chake kifupi kafanya mambo mengi sana muhimu na makubwa kwa wafanyakazi ambayo moja kwa moja yameenda kuongeza net income au take...
  11. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Kwanini Urusi haingii katika vita kumsaidia Iran

    Habari nimepitia thread kadhaa nimeona wadau wengi wantatizwa kwanini urusi mpaka sasa hajachukua action zinazoonekana za kumsaidia iran katika vita yake na izrael,na wengine wameeda mbali na kumuita urusi ni mnafiki na pia kumuona ni mbinafsi na wengine wakihusisha kuwa mrusi sio wa kumuamini...
  12. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Je, LBL sio Matapeli kama Matapeli wengine?

    Ndugu zangu watanzania hakunaga hela nyepesi fanyeni kazi,kama mnataka fedha izae bila ya kutoa jasho fungua fixed account,nunua hisa au bond hizi njia nyingine mtakuja kuliwa vichwa mtuletee malalamiko na kuomba msaada wa serikali
  13. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Pamoja na hasara kubwa waliyoipata Hamas lakini Israel imeukosa ushindi

    kwa mtu ambae anafikiri sawasawa hii vita haina udini,ila ukitumia ubinaadamu zaidi unapata jibu kweupe,kama ni ishu ya udini nchi nyingi za kiislamu zipo against palestine at all ,angalia misri,jordan,saudi arabia n.k(japo huwa msimamo wake hubadilika badilika) alafu nenda kaangalie nchi...
  14. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Pamoja na hasara kubwa waliyoipata Hamas lakini Israel imeukosa ushindi

    lets discuss with common sense then,unafahamu kuwa eneo alilovamiwa israel october 7 kwa recognition ya international boundaries na UN ni eneo la palestine, hvyo hoja ya kwanza raia wa israel hawakutakiwa kuwepo walipokuwepo illegally,pili unafahamu kuwa kabla ya october 7 zaidi ya wapelestine...
Back
Top Bottom