Recent content by Mndengereko

  1. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Gamers, game gani zuri kwa upande wa PS4 kwa ajili ya kupambana?

    hahaha usilolijua sawa na usiku wa Giza
  2. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Kutokuwa na hela ndio inafanya mwanaume atembee na pisi mbovu!

    by the way uzuri ni subjective,kila mtu ana kigezo chake cha uzuri......
  3. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Camera failed error Samsung S25

    Wakuu kwema? Wale wazoefu simu yangu ya Samsung aina ya S25 muda mwingi inaniambia camera failed hivyo haioperate chochote na baada y masaa mengi kupita hurudi na kuoperate normaly walau kwa muda mchache nimejaribu kufuata njia mbalibmali za online kusolve tatizo lakini bado lipo naomba...
  4. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Subaru SJ5 kutetemeka

    sure ahsante sure,ahsante
  5. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Subaru SJ5 kutetemeka

    ahsante naamini inawezekana pia hii ikawa sababu kwa kuwa nilibadilisha tairi moja la nyuma niliweka jipya liilokuja na gari lililpasuka kwa hiyo inawezekana tairi jipya limeleta imbalance,na matairi yaliyokuja na gari hayajachoka yapo OK
  6. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Subaru SJ5 kutetemeka

    Wakuu heshima yenu, nina changamoto kidogo SJ5 ikifika spidi 95 and above mpaka 105 huonyesha dalili ya kutetemea kidogo hasa katika usukani zaidi ya hapo au chini ya spidi hiyo huwa ipo sawa kabisa bila ya shida yoyote. Naomba kujua tatizo linaweza kuwa nini na nini napaswa kufanya, nipo...
  7. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Mazuri ya magari ya umeme na changamoto zake

    we are heading there we dont have choice.we need to be prepared
  8. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    wakurungwa naomba mnifahamishe "coolant" sahihi kwa jili ya subaru SJ5 tafadhali
  9. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    kama lipo la subaru tafadhali naomba mniunge
  10. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, kada mbalimbali hatujalipwa Fedha ya Kujikimu

    poleni kwa hilo lakini mkiwa watumishi wa serikali laima mjue namna ambavyo serikali inafanya kazi na kujiendha na hata chain za kuwasilisha malalamiko yenu,hapa JF sio mahala sahihi pa yie kuwasilisha kero zenu mahala sahihi zaidi palikuwa ni kwa viongozi wenu wa halamshauri kuanzia mkuu wa...
  11. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    natafuta mdau wa kucheza nae games online kwenye console ya PS 4 ima liwe GTA 5,au FC 26 au Call of Duty,karibuni DM
  12. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Marekani yaomba Ceasefire kwa masaa 48, Iran yakataa

    i was thinking the same,ila mosi angalia irana anapambana na nani? kumbuka ni marekani hivyo tukubaliane sio kila nchi ingekuwa imeweza kumdindia marekani mpaka muda huu,pili kumbuka kwamba dege imeanguka milimani na pilot nae yupo huko milimani ila urahisi wa mareani kumpata pilot wao ni kwa...
  13. Mndengereko

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    hawa mauritania na madagscar hata wakiungana naamini tunaweza kuwafunga kabisa kabisa
Back
Top Bottom