Sawa mkuu maana katika maandishi yako inaonyesha una chuki kuu moyoni mwako kuhusu Magufuli inawezekana ukawa unaongoza humu JF, please forgive him, mwache Mungu ndie muhukumu wa haki maana kwake Mungu hakuna dhambi wala uovu. Mwache kwa aliyotenda kama hakutubu bas muda huu atakua analipwa kwa...
Itakua mzee Magufuli alikukosea mahali maana unamchukia kupita kiasi. Sasa Bwana Yesu Kristo anatutaka tusamehe saba mara sabini yaan tusamehe pasipo kikomo. Ikiwa sisi wanadamu tunamkosea Mungu na anatusamehe bas nasisi tuna wajibu wa kusamehe. Sasa usipomsamehe Magufuli nawewe Mungu...
Usipomsamehe nawewe Mungu hatakusamehe dhambi zako. Kina Sauli walikua wauaji ila Bwana Yesu aliwasamehe sasa wewe ni nani? wewe hujawahi kutenda dhambi? kwa taarifa yako waliofanya hayo kama waeomba toba ya kweli Mungu ameshawasemehe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.