Asante sanaaa, barikiwa kwa msaada. DSE ndio nini? nataka CRDB au NMBJe unataka hisa za benki za nje au ndani?
Unataka hisa za gharama nafuu au bei ya wastani?
Anyway! CRDB ni best option, kadiri ya history ya RoI (Return on Investment.
Tembelea tawi lolote kubwa la CRDB au DSE kupata broker
Asante sana, kirefu cha DSE ni nini? au nikiingiza DSE kwenye playstore inakuja?Download app ya hisa kiganjani ya DSE, jisajili, angalia orodha ya makampuni yaliyoorodheshwa nunua hisa.
Asante nimeshapata kirefu cha DSEAsante sana, kirefu cha DSE ni nini? au nikiingiza DSE kwenye playstore inakuja?
Asante nimeshapata kirefu cha DSEAsante sanaaa, barikiwa kwa msaada. DSE ndio nini? nataka CRDB au NMB
Mimi nina Hisa za NMB bei ya sokoni n 2,340 hisa moja, lakn mm nauza 2,100 kwa hisa moja. NMB n shirika ambalo linazid kupanda thamani mm nauza sababu ya shida ya Ada tu. Faida n kubwa cz thaman inapanda, nauza pungufu na unapata dividend kila mwaka. Nitakupa form ujaze na certificate utaipata kwa muda mfupi. Ukiwa interest nichek nikupe mwongozoHabari zenu wakuu, msaada nataka kununua hisa za bank yoyote inayofanya vizuri hapa Tanzania, naombeni maelekezo naenda wapi kufungua account au nanunua wapi? ofisi zipo wapi? mimi nipo Dar Es Salaam, asante
CRDB asithubutu. Mimi nipo huko, hawafanyi vizuri kabisa. Natamani kutoka, lakini bei ya kuuza hisa ni hasara tu.Je unataka hisa za benki za nje au ndani?
Unataka hisa za gharama nafuu au bei ya wastani?
Anyway! CRDB ni best option, kadiri ya history ya RoI (Return on Investment.
Tembelea tawi lolote kubwa la CRDB au DSE kupata broker
Yaaah, I know that pia Ndo maana nimemueleza afike DSE aangalie kampuni zinazofanya vzr kwenye kugawa dividends zao au ageukie treasure bonds za kule BOTCRDB asithubutu. Mimi nipo huko, hawafanyi vizuri kabisa. Natamani kutoka, lakini bei ya kuuza hisa ni hasara tu.
Asante mkuu, hivi Treasure Bonds za BOT inaruhusiwa kuanzia shilingi ngapi? je nakua napata faida kila mwezi kama ilivyo fixed account ya miaka miwili ambayo kila mwezi nakuta bank wameniwekea faida?Achana na hisa kanunue Treasure Bonds za serikali BOT utakuja nishukuru.
ASANTE, NIMEONA MSG YAKO, ASANTEMimi nina Hisa za NMB bei ya sokoni n 2,340 hisa moja, lakn mm nauza 2,100 kwa hisa moja. NMB n shirika ambalo linazid kupanda thamani mm nauza sababu ya shida ya Ada tu. Faida n kubwa cz thaman inapanda, nauza pungufu na unapata dividend kila mwaka. Nitakupa form ujaze na certificate utaipata kwa muda mfupi. Ukiwa interest nichek nikupe mwongozo
Mkuu naamini sasahivi zitapanda thamani kwasababu watu wengi watakimbilia mabank kwasababu ya hizi tozo ndio maana namimi nimeona niwekeze huku mapemaCRDB asithubutu. Mimi nipo huko, hawafanyi vizuri kabisa. Natamani kutoka, lakini bei ya kuuza hisa ni hasara tu.
Mkuu naomba unipe ufafanuzi kidogo kuusu Treasure bond na inaitajika kiasi gani kununuaAchana na hisa kanunue Treasure Bonds za serikali BOT utakuja nishukuru.
Bora ununue NMB. Mimi nipo huku CRDB zaidi ya miaka 10. Nina uzoefu wa kutosha huku. Nina hisa zinakaribia 3000, lakini gawio ninalapata ni kidogo sana. Mfano mwaka huu nimepata sh. 43,000/=.Mkuu naamini sasahivi zitapanda thamani kwasababu watu wengi watakimbilia mabank kwasababu ya hizi tozo ndio maana namimi nimeona niwekeze huku mapema
Sawa kabisa. Ushauri wako ni mzuri.Yaaah, I know that pia Ndo maana nimemueleza afike DSE aangalie kampuni zinazofanya vzr kwenye kugawa dividends zao au ageukie treasure bonds za kule BOT
Ni kuanzia 500,000 nadhaniAsante mkuu, hivi Treasure Bonds za BOT inaruhusiwa kuanzia shilingi ngapi? je nakua napata faida kila mwezi kama ilivyo fixed account ya miaka miwili ambayo kila mwezi nakuta bank wameniwekea faida?