Recent content by mmura

  1. mmura

    JamiiForums Tanzania Dotto Wangwe, (mke wa marehemu Chacha Wangwe) ateuliwa kuwa mwenyekiti wa kina mama ACT-Tanzania

    Ha ha ha kuelekea 2015 tutashuhudia mengi, anataka kutembelea kivuli cha marehemu sio! ACT hawana nafasi mkoa wa Mara
  2. mmura

    JamiiForums Tanzania Kikwete atunukiwa tuzo ya demokrasia Afrika

    tuzo ya kweli ni ya MO IBRAHIMU, hizi zingine ni longolongo tu
  3. mmura

    JamiiForums Tanzania Zijue Movie Mpya Kali 2013 na 2014

    itafute The Blacklist
  4. mmura

    JamiiForums Tanzania Getrude Mongella amvaa Rais Kikwete

    mbona mwanae John Mongella alipopewa U DC hakulalamika na watoto wa walalahoi wapewe hizo nafasi, yeye atulie zama zake zishapita
  5. mmura

    JamiiForums Tanzania Front Page Ya Jambo Leo Ya Leo Ni Hatari Kwa Taifa

    gazeti la waganga njaa
  6. mmura

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya bongo movie..

    hizo takwimu za Bil. 12 umezipata wapi? hakuna mtu mwenye akili timamu ataenda kuangalia Bongo Movie after all watazamaji wakubwa ni ma house girl
  7. mmura

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete safarini Marekani

    jana jioni chupuchupu msafara wake kugongwa na treni maeneo ya gold star kamata
  8. mmura

    JamiiForums Tanzania CUF wamshauri JK aunde serikali ya mseto

    bora maana, anaona Urais hapati mwenzie Seif kala shavu Znz
  9. mmura

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete ni Kiongozi mashuhuri Duniani.

    what so special?
  10. mmura

    JamiiForums Tanzania Picha: Kinana akiwa ziarani jijini Mbeya

    Kandoro mwenyewe kavaa gwanda kwa kuwa anajua Mbeya hawadanganyiki ni wanamageuzi wa ukweli. Kinana na Nape wanafanya tu mchezo wa kuigiza, mara wapande baiskeli, mara wapande bajaj, mara wale wali maharage, wale chai na vitumbua wamekaa chini, wabebe vitofali na kulima na jembe la mkono, yooote...
  11. mmura

    JamiiForums Tanzania Tamko la Wanachadema Mkoa wa Mwanza - Sababu zilizotolewa na kamati kuu hazikubaliki

    Huyu Gwanchele anafurahisha sana ukisoma hapo kwenye red unaweza kuona ni jinsi gani alivyo mbabaishaji, anaongelea umoja ambao yeye mwenyewe kwenye paragraph ya kwanza anakiri ya kwamba ndio umeanzishwa. Anawataja waasisi wa chadema kanda ya ziwa akiwemo Zitto, anadai wameonewa sana ndio maana...
  12. mmura

    JamiiForums Tanzania Ratio ya wabunge wa cdm kigoma v/s kura za urais 2010

    Na anapojaribu kulinganisha kura za kigoma na kaskazini anataka ku justify nini? Kama yeye ni maarufu sana na kigoma walimpigia kura doctor slaa kwa ajili yake, basi akaanzishe chama chake si ana uhakika na kura za kigoma. Umaarufu ulimvimbisha kichwa akasahau kuwa yeye sio maarufu zaidi ya...
  13. mmura

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa awadhihaki Zitto, Kitila na Mwigamba. Muendelezo wa majungu

    Msigwa is absolutely right, chadema itabaki kuwa ni taasisi na hakuna mtu maarufu kuliko chadema kama yeye ni maarufu akaanzishe chama chake, after all uamuzi huu umechelewa sana
  14. mmura

    JamiiForums Tanzania Msaada ku update software ya Z10

    nina simu yangu ya blackberry Z10 sasa hivi sipati application ya whatssApp, inaniambia ni update software yake kwa kutumia wi-fi nimejaribu kufanya hivyo imegoma, msaada kama yupo mwenye idea yeyote
Back
Top Bottom