ni maarufu co amesafiri kuliko fastjet
Katika taarifa yake ya habari leo saa 2:00 usiku,TBC Taifa imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa viongozi mashuhuri Duniani waliopata fursa ya kutoa hotuba katika Mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini Nelson Mandela.
Je ni kweli katika Viongozi mashuhuri duniani na Jakaya Kikwete yumo?
Jakaya ni Raisi maarufu na makini. Nimefuatilia hotuba zote zilizotolewa kwenye msiba wa Madiba, hotuba aliyotoa Jakaya ilikuwa na msisimko, mvuto na mtiririko ulipangiliwa vizuri sana. Ukumbi wote ulikuwa unazizima na kuipokea hotuba hiyo kwa furaha sana. Pia hotuba aliyoitoa kenya kwenye sherehe ya miaka 50 ya uhuru wa Kenya, ilikuwa ni hotuba nzuri sana na yenye mvuto wa kipekee.
Tuna bahati kuwa na Rais JK
Haya ni matunda ya Mwalimu Nyerere na si zaidi .Viongozi mashuhuri walitoa speech zao mapema mwanzoni mwa wiki pale Uwanjani .Leo kasimama sababu ya Mwalimu na mazimbu nk .So ni Mwalimu na si JK kama yeye .
Katika taarifa yake ya habari leo saa 2:00 usiku,TBC Taifa imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa viongozi mashuhuri Duniani waliopata fursa ya kutoa hotuba katika Mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika Kusini Nelson Mandela.
Je ni kweli katika Viongozi mashuhuri duniani na Jakaya Kikwete yumo?
Jakaya ni Raisi maarufu na makini. Nimefuatilia hotuba zote zilizotolewa kwenye msiba wa Madiba, hotuba aliyotoa Jakaya ilikuwa na msisimko, mvuto na mtiririko ulipangiliwa vizuri sana. Ukumbi wote ulikuwa unazizima na kuipokea hotuba hiyo kwa furaha sana. Pia hotuba aliyoitoa kenya kwenye sherehe ya miaka 50 ya uhuru wa Kenya, ilikuwa ni hotuba nzuri sana na yenye mvuto wa kipekee.
Nimekuelewa lakini nina wasiwasi kama wengi wetu watakuelewa pia! Tumshukuru sana 'mzee/ndugu' Nyerere.Haya ni matunda ya Mwalimu Nyerere na si zaidi .Viongozi mashuhuri walitoa speech zao mapema mwanzoni mwa wiki pale Uwanjani .Leo kasimama sababu ya Mwalimu na mazimbu nk .So ni Mwalimu na si JK kama yeye .