Hakuna asiejua madudu ya wazi walioyafanya katika uchaguzi huo uzuri vyombo vya usalama vilikuwepo na vilishuhudia matukio mengi ya ubadhirifu muda ni mwalimu mzuri kwangu Martin Lubango alitosha kuiongoza sengerema
Jamani vip taarif za mgombea ubunge jimbo la sengerema mjini maana huko sijasikia lolote vipi kuhusu wiliam ngereja na skendo zake za rushwa Nasikia kuna dogo mmoja anaitwa Martin alikuwa anamnyima usingizi naomba kujua alietoboa kwa anaefaham
Naomba mamlaka husika mlitazame hili kwa jicho la ziada picha linaanza raia wako tayari kusajili line zao kwa ambao tayari wamefanikiwa kupata namba za NIDA wakienda kwa watoa huduma Hakuna netwerk kutwa nzima mifumo ya kimtandao ni mibovu sijawahi ona hakuna netwerk hzo line tunasajil vipi? leo...
Habari zenu wakuu
kuna tatizo la umeme katika maeneo ya Karakata na viunga vyake toka jana ssa7 jioni umeme hauwez kuwasha hata taa mbaya zaidi unapanda na kushuka na kila baada ya sekunde 10 unakata na kuwaka imekuwa kero kubwa vitu ndani vinaharibika hivi Tanesco hamlioni hili au ni dharau au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.