Kilichoshinda Sengerema ni hela!Kuna haja wagombea ambao ni wasomi kabla ya kwenda majimboni wakae chini na kujitafakari kwa kina sababu za kuelekea kushika nambari one ama kupata aibu kubwa. Vinginevyo wasomi wawe tayari kwenda kujifunza kwa std 7 namna ya kushinda kura haswa jinsi ya kupata kura za wajumbe wa kijijini