Recent content by mmmmmh

  1. M

    Inachukuwa muda gani tangu mwanamke ajifungue hadi kupata tena ovulation?

    inategemeana na unyonyeshaji.mie nilianza tena ilivofika miez saba
  2. M

    Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

    Mwaipenda_mwatalatala_kijijini_kumajabhu_kobhomu.
  3. M

    Matumizi ya madawa/vitanzi vya kupanga uzazi ni hatari

    Roho yangu inasita sana kutumia hizo njia lakini pia namuonea sana huruma mwanangu kumletea mdogoake kabla hata hajafikisha miaka miwili lkn pia....
  4. M

    ITV: Vijiji 119 kukumbwa na njaa mkoani Mwanza

    Yaani mimi nalia na mahindi yangu.huku kwimba ni jua balaa
  5. M

    Msaada Pumu ya ngozi (Eczema dermatitis)

    Daah ahsante sana mkuu ubarikiwe.
  6. M

    Msaada Pumu ya ngozi (Eczema dermatitis)

    Naomba msaada unipe gharama za hizo dawa za kupaka na ambazo ni nzuri na mie nitumie.
  7. M

    Msaada Pumu ya ngozi (Eczema dermatitis)

    Hata mimi pia sina amani na nakosa kujiamini kwa sababu siwezi vaa nguo kata mikono hata kuwe na joto sana.full vikoti tu.
  8. M

    Hawa malaki ya vijana wasio na ajira ipi hatma? bomu baya sana hili

    Ivi jamani kila mtu akiwa mjasiriamali nani atamuuzia mwenzie....halafu mitaji iko wapi...arrrrrrrrgh.
  9. M

    Kuna uwezekano wa mshahara kutoka kabla Xmas?

    Ubhaponiege mwa ipenda nkamu.
  10. M

    Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

    Muombe mungu tu umpate wa kufanana na wewe.unaweza umpate wa hizo sifa unazozitaka lakini ukute yalimo ndani hayamo...
Back
Top Bottom