Recent content by Mmavele jr

  1. Mmavele jr

    Ni magari gani manne (4) utanunua endapo utakuwa na uwezo?

    1. TOYOTA VX V8 2019 2. DISCOVERY 4 3. FORD RANGER 2020 4. HYUNDAI i20 (racing car) 🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️
  2. Mmavele jr

    Shule gani itamfaa kutokana na matokeo aliyoyapata?

    Kwa boarding ni Milion moja plus michango na kwa day ni LAKI 5
  3. Mmavele jr

    Shule gani itamfaa kutokana na matokeo aliyoyapata?

    Kwa huo ufaulu wake hapo kwanza tumpongeze amejitahidi sanaa ila kwa bahati mbaya ameshindwa kuballance combination kitu ambacho kitamuwia ugumu kuchanguliwa direct na serikali hivyo basi ningependa kukushauri umtafutie shule nzuri ya binafsi kama Malati Secondary school iliyopo Morogoro...
  4. Mmavele jr

    Ushauri Gari yangu aichanganyi speed mwisho 60 tu!

    mi nakushauri acha iyoiyo 60 km/hr mbona nyingii hizooo maisha yenyewe haya unakimbilia kwenda wapi sasa
  5. Mmavele jr

    Toyota Brevis Itabaki na Wanaume tu

    Tatizo la brevis ni bei yake haiendani na gharama zake za uendeshaji iko very cheap so vijana tunaojichanga huku na huku miaka 3 kupata 12m ya usafiri ni ngumu kumanage huduma zake kwa maisha yetu ya kibongo hayaa yoyote anaemiliki gari hata iwe paso na anadrive bila shida yoyote ni wakupewa...
  6. Mmavele jr

    Loh! Nabadilisha gari sasa!

    Hizi gari zinaonekana kupendwa sanaa sijui zina tofauti gani na Vits nyingine au na hivi vigari vidogo
  7. Mmavele jr

    Alphard vs vellfire

    Sijawahi kupenda gani ambazo ni van kwa kwelii na hata cjui watu wanapendea nini hii migari hataa haivutii
  8. Mmavele jr

    Brand ipi ya magari ya Ulaya zinaendana na mazingira yetu?

    kwa gari zote ulizozitaja hapo juu nadhani zipo nyingii tu mtaani huku which means zinamudu mazingira ya kibongo Japo pochi yako inabidi iwe ndefu kidogo kuinjoy vizuri huduma ya hayaa magari
  9. Mmavele jr

    Wanaume, njoeni niwaambie njia ya kutukamata sisi wake za watu

    kama uyataki marinda yako chukua hiyoo ushauri hapo juu
  10. Mmavele jr

    Programu zinazokuongezea salio katika simu yako

    nadhani hadi uje ufikishe ilo jero ushahaustle sanaa
  11. Mmavele jr

    Wanawake wa namna hii huwa nawaogopa sana

    kuna raha kuwa na demu mwenye kaushamba flani hivi sio demu much know kila kitu anajua hadi odds za kubeti mnapeana
  12. Mmavele jr

    Kuna siri gani kwenye Kanisa Katoliki kuhusu Miracle Hunter?

    movie inaitwa "The Crucifixion" movie imechezwa Romania mwaka 2017
  13. Mmavele jr

    Kuna siri gani kwenye Kanisa Katoliki kuhusu Miracle Hunter?

    ingawa ilikua ni movie(niliwahi itazama) ila huu uzi umenipa mwanga flani kujua kwamba huenda kuna ukweli ndani yake (na iliandikwa based on the true story) story yake ni mapadre ambao walikua wanatoa mapepo makali kwa kuwafunga watu kwenye msalaba wacha nifatilie hili kwa mababa wa roho
  14. Mmavele jr

    Gari za kichina ni hatari?

    hayapumziki muda wa kutosha haya magari zinapiga route kupitiliza
Back
Top Bottom