Recent content by mmassyferguson

  1. mmassyferguson

    Kaniomba nimsindikize kwake alichonifanyia sitasahau

    Umefurahia kubakwa! !!unashangaza Sanaa hujui hata thaman ya mwili wako
  2. mmassyferguson

    Siamini ninachokiona kwa wanaume wa kileo

    Ukiona anatusema sana sisi wanaume ujue anataman kuwa kama sisi au kaachika mara nyingi hivyo anatuonea wivu
  3. mmassyferguson

    Tusiwatese na kuwaonea wanawake kiasi hiki

    Mwanamke anashiriki kuumba , haahaa rudi darasani mkuu kama anashiriki angeanza na ADAM bas
  4. mmassyferguson

    Tusiwatese na kuwaonea wanawake kiasi hiki

    Namba 3 nakupinga sana mwanamke umfananishe na mungu, hata kama unamsifia mtu au kitu usikifananishe na mungu
  5. mmassyferguson

    Mwanasayansi David Goodall anayetarajia kujiua kesho atatakiwa kujichoma sindano yenye sumu

    Mawazo ya sisi wanadam yanatofautiana sana unaweza kuwa na mshangao mkubwa kutokana na uamuz wa mtu, huwez jua nn Kimemsibu mpaka kufikia uamuz huu, lakin kwa nyakati za sasa ya utandawaz tunakabiliwa na ugonjwa wa UPWEKE Sana
  6. mmassyferguson

    Nini kimeikumba Dar Express?

    Binafs magari ya kichina siyapendi hayana mneso mzuri kama markopolo
  7. mmassyferguson

    SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

    Na itakuwa vizur ukiniwekea na picha yake mkuu
  8. mmassyferguson

    SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

    Habari mkuu hujanijibu swali langu nahitaji home theatre system nzuri sana yenye kutumia Bluetooth watts kubwa
  9. mmassyferguson

    SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

    Habari mkuu nitoe shukran kwako kwa kutuelimisha baadhi ya bidhaa feki na og binafs nahitaji home theatre system ya kisasa , iliyo original watts kubwa yenye Bluetooth pia yaan nikiufungulia uonekane mziki haswa, karibu mkuu
  10. mmassyferguson

    Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

    Huyu dada mstaarabu sana nampa hongera, sio kama wengine wakiachana na wapenz wao kazi yao kutangaza mabaya ya mwenzako kama vile yeye malaika, good usiwe kama Joyce kaachwa analalamika kila kukicha
  11. mmassyferguson

    Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

    Yeye mwenyewe chini ana pango, halafu nimwongezee lingine
  12. mmassyferguson

    Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

    Huyu bibi anakaa wap, bibi amekosa busara kabisa Huyu bibi
  13. mmassyferguson

    Nguvu ya Clouds katika Muziki wa TZ

    Lady jay Dee unajidanganga hajapotea kimuziki, yule ni commando hamlambi mtu miguu
  14. mmassyferguson

    Tunamchukia Makonda lakini anajitahidi

    Napenda kujitoa kwake kwa jamii mh makonda, endelea kusimamia unachokiamin mkuu bila kujali wanasema nn
Back
Top Bottom