1. Sina hakika kama nina gastrisis. Lakin sometimes huwa nasumbuliwa na GERD ile umelala horizontal halafu ACID REFLUX inapanda kooni. Unapaliwa.
2. Nasumbuliwa sana na tatizo la gesi/kujamba. Najamba sana mkuu. Muda wote tumbo Lina unguruma.. geri tu muda wote najamba.
Hii naichukulia kama...
Habari.
Nikienda Pharmacy niseme nataka Helgo Kit watanielewa.
Ama natakiwa nitaje specifics mfano dozi kiasi gani/mg ngapi.
Ama natakiwa niwatajie hiyo lost ya madawa sijui omprazone, trycline, PPI.
Mfano wakisema hawana hiyo Heligo Kit, naweza kuchukua combination ipi ya dawa + amount zake...
Habari.
Nikienda Pharmacy niseme nataka Helgo Kit watanielewa.
Ama natakiwa nitaje specifics mfano dozi kiasi gani/mg ngapi.
Ama natakiwa niwatajie hiyo lost ya madawa sijui omprazone, trycline, PPI
Habari Hance.
Nikienda Pharmacy niseme nataka dawa gani.
Nianze kutaja hiyo list ya kwanza pamoja na hizo gram zake?
Yaani tuseme nataka nikanunue mwenyewe dawa nianze kumeza (sina cheti cha Maabara)
Nikienda pharmacy nisemeje, na amount (dozi) iwe ya kiasi gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.