Recent content by mlokole halisi

  1. mlokole halisi

    Uchawi na kilimo

    Mungu pekee ndio jibu la yote ndugu
  2. mlokole halisi

    Tazama Maisha na mali zinavyomuijilia kila mtu duniani kabla ya kufilisika

    mtoa mada salaaaM Nina wazo kuwa fursa kama fursa huwa ipo siku zote za maisha ya mtu endapo ataijua na kuitumia vyema......kumbuka kuna wanafanikiwa ujanani wengine huwatokea hata wakiwa wazee..... NB: NAHISI KWA MIFANO YAKO ULIAMUA KUWABANA WALE WAWILI KANA KWAMBA MAAMUZI YAO HAYAKUWA SAHIHI...
  3. mlokole halisi

    Zinaa katika uislamu....

    katika kujibu kwako nimeona una hekima Fulani na utulivu pia kujiamini.....nimeupenda huu Uzi sababu yako ndugu.......barikiwa zaidi
  4. mlokole halisi

    NINA TATIZO GANI ?? AU NI KAWAIDA?

    pole kwa tatizo ni vyema ukawaona wataalamu
  5. mlokole halisi

    Msaada, kwa nini napenda mwanamke anaelia kwenye 6*6

    humu yawezekana kuna watoto wengi miaka hii ya karibuni .......unisamehe mtoa mada yawezekana ukahisi nimekulenga wewe
  6. mlokole halisi

    Sipendi kuishi sehemu moja muda mrefu, je nina tatizo? Hata kazi kila baada ya miaka 4 inaniboa natamani nihame

    tatizo la ki-saikologia tafuta wataalamu.... Leo usingizi umenitupa hadi sa hizi nipo hapa ???????
  7. mlokole halisi

    Tulioacha kunywa pombe 2019 tukutane hapa

    mziache wakuu sio nzuri......zina piga sana mifuko
  8. mlokole halisi

    Hiyo ndio ilikuwa Mbuguni (Kwa sasa Mererani) enzi hizo

    mkuu endelea tu naona kuna mengi ya kujifunza humu
  9. mlokole halisi

    Vituko vya marehemu

    Write your reply... hahahaha
  10. mlokole halisi

    Vituko vya mochwari

    sijaelewa
Back
Top Bottom