- Thread starter
- #21
hayo ya kufa ni matukio siyo fursa!Mwaka una siku 365 hizi siku zote ni fursa..
Sasa wewe ukiniambia kwamba fursa inakuja mara moja nakua sikuelewi..
Fursa zinazokuja mara moja na hazijirudii tena ni kuzaliwa na kufa..nukta
mafanikio huja kama kamisheni !
hizo Siku 365 ndizo zinakufanya ulenge tundu la mafanikio