Wanawake njooni mseme ukweli

Wanawake njooni mseme ukweli

Girlfriend/wife is not everything for boys/men, we can live without them happily.😎😎

Don't pressure yourself.

Peace.
 
Girlfriend/wife is not everything for boys/men, we can live without them happily.😎😎

Don't pressure yourself.

Peace.

And vice versa is true.....

K’ Matata.
 
I like you Kasie

Mwanzo nilikua sikuelewi but now I appreciate your sense of humor .

You are in your own little island Smoking lord knows what.
😊😊

Hahahhahahahaaa

Hakuna kitu kitamu kama kuwa peak aka kuwa high high up above the sky halafu nyegee nazo ziko fulu wuuluuu hehehehe hehehehe

Thanks Karuu, and I thank God I like the way I am more and more..... #enjoying being me....

You just remind me about KIKUNGU and Mentor..... smoking weeds....

K’ Matata

Mahaba Matata
 
Hahahhahahahaaa

Hakuna kitu kitamu kama kuwa peak aka kuwa high high up above the sky halafu nyegee nazo ziko fulu wuuluuu hehehehe hehehehe

Thanks Karuu, and I thank God I like the way I am more and more..... #enjoying being me....

You just remind me about KIKUNGU and Mentor..... smoking weeds....

K’ Matata

Mahaba Matata

Weed was awesome those days.

Right now I wouldn't touch it.

Motherhood duties wouldn't let me.
 
Tatizo mnatuchukuliaga kwamba tupo very complicated wakati sivyo.

Mwanamme asimame kama mwanamme, abebe majukumu ya familia kwa maana ya kutimiza mahitaji ya familia.

Amheshimu na kumjali mke wake kwa hali na mali. Kumpa company na sio ya kumchungulia kyupi tuuu. Na aiangalie familia ya wakwe kama anavyoangalia ya wazazi wake pia. Kushauriqna katika masuala ya kifamilia.

Kuwa mwalimu ama kiongozi wa mke wake pale anapoona amekosea step. Kumfundisha mambo mapya mfano siasa, ama kukaa nae kuangalia mpira kumfundisha rules etc.

Kumpiga turumba. Hili neno turumba mara ya kwanza na mwisho nililisikia kwa baba yangu fundi magari wakati navunja ungo. Hakukaa akaremba maneno yake. Alituambia tu pigweni turumba weee mpaka ifuke moshi. Nilipokuwa ndo nilielewa. So ndugu msomaji, mpige mkeo turumba weeeee ndo miongoni mwa yanayotakiwa katika ndoa.
well said
 
Napitia mwenye mwandiko mzuri nione kama chekechea wote tulipita na kupata vyeti
 
Tatizo mnatuchukuliaga kwamba tupo very complicated wakati sivyo.

Mwanamme asimame kama mwanamme, abebe majukumu ya familia kwa maana ya kutimiza mahitaji ya familia.

Amheshimu na kumjali mke wake kwa hali na mali. Kumpa company na sio ya kumchungulia kyupi tuuu. Na aiangalie familia ya wakwe kama anavyoangalia ya wazazi wake pia. Kushauriqna katika masuala ya kifamilia.

Kuwa mwalimu ama kiongozi wa mke wake pale anapoona amekosea step. Kumfundisha mambo mapya mfano siasa, ama kukaa nae kuangalia mpira kumfundisha rules etc.

Kumpiga turumba. Hili neno turumba mara ya kwanza na mwisho nililisikia kwa baba yangu fundi magari wakati navunja ungo. Hakukaa akaremba maneno yake. Alituambia tu pigweni turumba weee mpaka ifuke moshi. Nilipokuwa ndo nilielewa. So ndugu msomaji, mpige mkeo turumba weeeee ndo miongoni mwa yanayotakiwa katika ndoa.
duh umenikumbusha chimbo moja linaitwa Tururamba lipo karibu na Law School Sinza/Sim2000. Chimbo moja hatari sana lile sijui kama bado lipo
 
1: Tunapenda kufahau suala lake la kiuchumi.

2: Ucheshi, kiasi na busara.

3: Wapole

4:like a queen

5: kuongea kiasi ila kuchat kila wakati.

6: Avae apendeze yaani awe mtanashati.Asivae hovyo hovyo. Mavazi yawe yenye hadhi na itategemea sehemu anapoenda. Na awe msafi.

7: Hamna mwanamke anayependa kusikia
mwanaume wake ana mwanamke mwingine. Inaumiza na kutia kichefuchefu kwa pamoja.

8: tunapenda wanaoonyesha wanatupenda kwa vitendo. Hata kama hawasemi.

9: Hatuchepuki.

10: Hamna jibu.


Sent using Jamii Forums mobile app
nakazia
 
1: Tunapenda kufahau suala lake la kiuchumi.

2: Ucheshi, kiasi na busara.

3: Wapole

4:like a queen

5: kuongea kiasi ila kuchat kila wakati.

6: Avae apendeze yaani awe mtanashati.Asivae hovyo hovyo. Mavazi yawe yenye hadhi na itategemea sehemu anapoenda. Na awe msafi.

7: Hamna mwanamke anayependa kusikia
mwanaume wake ana mwanamke mwingine. Inaumiza na kutia kichefuchefu kwa pamoja.

8: tunapenda wanaoonyesha wanatupenda kwa vitendo. Hata kama hawasemi.

9: Hatuchepuki.

10: Hamna jibu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Naona priority zako "on a sack" umeamua kubaki nazo moyoni. Good for you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom