Recent content by mliverpool

  1. M

    Leo nimetimiza kabila la 125 kuligegeda hapa Tanzania.

    Halafu tunamsakqma Rostam kwa uwekezaji anaoufanya huku watanzania tunawaza kugegeda muda wote....
  2. M

    Mbuzi wa mtaani

    Sasa unamuibia nani na hawana mwenyewe,we Sema tu unachukua..... tatizo vitisho vingi eti mbuzi wa dawa!!
  3. M

    Mbuzi wa mtaani

    Jeuri haoooo,hawaogopi hata magari mnapishana nao tu barabarani,uzwahilini wanapora mpaka watoto chapati
  4. M

    Mbuzi wa mtaani

    Wanaowaogopa vibaya mnoooo wanawapisha na njia wakiwaona
  5. M

    Mbuzi wa mtaani

    Hawa mbuzi wa Dar tunaoshinda nao Bar na kugombea nao madem wananifikirisha sana,hivi nani aliwahi kumchinja mmoja akakakutana na mauza uza?? Maana kila mtu anasema ni mbuzi mara dawa mara wa albadiri eti ukila lina kukuta jambo,nani aliwahi kukutwa na jambo au mtu wake wa karibu kwa kujaribu...
  6. M

    Matatizo ya nchi hii chanzo ni ndugu Nyerere

    Nani alikwambia kwamba aliachia madaraka kwa hiari yake??hujui kama mashinikizo toka nje baada ya Hali yq uchumi kuwa mbaya kiasi cha kutomithilika ma majaribio mengi ya kutaka kumpindua ndo yalimfanya ajiuzuru?? Au hujui kuwa Nyerere ndo rais aliyejaribu kupinduliwa mara nyingi zaidi ktk...
  7. M

    Vimbwanga na vituko vya boss wetu

    Mhhh,wanaendelea vp bro?? Mbons wqna maisha magumu snaa si ndo hawa wanaotukanwa na wahindi kila siku??
  8. M

    Baba mdogo alipoteza ajira yake, akapata kesi, kafungwa jela kwa kukosa faini milioni 40 tu, huku ana watoto wakubwa aliowasomesha India na UK

    Uanaume ni kujipangq,mm naamini untakiwa uwe na assets za familia na assets zako ninafsi,zile assets zako ndo zitakusaidia ukiwa na uhitaji wa haraka haraka!!
  9. M

    Nimekuta video chafu ya ngono ya mume wangu na boss wake

    Hujui ridhiki inaletwaje nyumbani,wanaume tunapambana ns mengi sana tuliaaa mtu yupo kazini!!
  10. M

    Aziz Ki na Harmonize jifunzeni kwa Diamond jinsi ya kutunza ndugu zenu. Miaka yote ulimficha mama yako sababu amechakaa

    Kwahiyo ukiwa tajiri na ndugi zako wote wanakjwa matajiri?? Acha kubenesha watu misqlaba isiyowahusu,kilq mtu anapambana kwa mahitaji yake na malengo yake,hatupambanii ukoo!!
  11. M

    Mwaka 1988 Chakachaka alipiga show Makondeko Kibamba kiingilio kilikuwa 100,000

    Poor mgt huku unamsifia mzee wako kujenga nyumba nyingi?? Hizo nyumba nyingi ndo ziliua shirika
  12. M

    Ushauri: Mchumba wangu anataka kunipeleka kwa Mchungaji wake kabla

    Kwa dunia ya leo mwnye uhitaji wa ndoa ni mwanamke,sasa hatakiwi kukupangia masharti as if unaenda kufanyiwa judgement huyo mchungaji akisema yes ndoa ipo akisema no hakuna ndoa,ww amuq kama unaoa au unaenda kupangiwa taratibu!!
  13. M

    Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

    Kilq kitu siyo matajiri tu,hata viongozi,wanamuziki,wanamichezo wau gwana sijui nyie huwa mnajisfia kitu gani..
Back
Top Bottom