Recent content by mliverpool

  1. M

    Zabuni (tender) ya kununua vitu vya kawaida kabisa anapewa mchina viongozi wa Afrika ni wabinafsi sana

    Kwanza nikujibu zabuni hazitolewi Bali hushindaniwa,pili inatengemea na njia na thamani ya zabuni husika,kama zabuni ilikuwa na thamani kubwa ya kushindaniwa na wazabuni wa kimataifa huyo mchina kupata ni haki yake,pia kama ililenga kununua viwandani ili kupata unafuu wa gharama niambie Kuna...
  2. M

    Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

    Wabongo bwana,yaani mnafanya ushabiki ktk vita kama wa simba na yanga!!
  3. M

    Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

    Kama 4 millions hivi,sikumchangisha tu,mm ni mfanyakazi na mke wngu pia ni mfanyakazi taasisi zetu zipo jirani tungeamua kuchangisha tungepata hata milion 60,ila tulifanys kimyakimya ya kifamilia tu ndugu wangu baadhi ns kwao baadhi jambo likaisha,ofisini tulipeleka vyeti,hatukutaka kucreate...
  4. M

    Ukifikisha miaka 30 achana na salamu ya shikamoo, ni unafiki

    Hiyo ilikuwa maana yao,lkn sisi ktk kiswahili chetu hatumaaanishi hivyo!tumeitohoa na kuipa maana yetu
  5. M

    Binafsi siwezi kuishi na mtu anayeenda kwa Waganga wa kienyeji na Mchawi

    Tafsiri yake ni kwamba unahitaji mtu asiyeamini ktk Mungu pia,maana uchawi upo ktk vitabu vya imani,na Kuna mstari mdogo baina ya dini na ushirikina,Imani ni kitu kisichoonekana sawa na uchawi vilevile!!
  6. M

    Wenye familia na watoto mnawezaje kutazama Runinga nyumbani?

    Hivi kipi ni sahihi,kununua TV mpya kuweka chumbani kwa watoto ili wqangalie katuni zao huko au kuweka chumbani kwako uangalie vpnd vyako usiwaghasi sebuleni??
  7. M

    Nahitaji wa kunijazia form ya ufadhili, nitakupoza

    Sasa kama muajiri wako anayekufahamu ameshindwa kukuamini mpaka vpi mm ninayekujua kupitia jf??
  8. M

    Tofauti ya DVR NA NVR katika ufungaji wa CCTV camera

    Vitu vingine vidogo vidogo kama hivi unaingia Google tu,hupqti shida ya kuuliza uliza !!
  9. M

    Changamoto za Spa za Dar es Salaam kwa wafanyakazi

    Brother hizo ni huduma kama huduma nyingine,si kila huduma inayotolewa duniani lazima babu yako aijue,Kuna Aina nyingi za matibabu zinakija kutokana na exposure babu yako hajawahi kuzijua,exposure ni pamoja na kujifunza vitu vipya!!
  10. M

    Ukiambiwa Ubungo, Kimara, Mbezi hadi Goba palikuwa kwa Wazaramo hutoamini

    Hizo jamiii nyingine zingekuwa na maana si wangeanza kujenga huko Makawao kwanza?? Maana mpaka mnakimbilia wa jamii ya wazaramo kung'ang'ania kuishi inamaanisha walikwisha waacha mbali! Wanachokifanya ni muendelezo wa ustaarabu wa watu wa pwani hekima iliyotumika kuwakaribisha ndo inayotumika...
  11. M

    Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi

    Na mwanamke mwnye kipato je?? Hana haja ya mapenzi si ndiyo??
  12. M

    Jirani yangu anajenga ghorofa, ananipa mawazo sana

    Usalama kwqni unataka kuuza bhangi??mbona nyumba nyingi tu za maghorofs zimepakana na nyumba za chini na hakuna hizo hatari unazoziona wewe??
  13. M

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Siyo tu hivyo,unaweza ukabeba mimba bahati mbaya ukatoa,ila kukubali kuzaaa as if hakuna kilichotokea ni dharau ya Hali ya juu!
Back
Top Bottom