Kwanza nikujibu zabuni hazitolewi Bali hushindaniwa,pili inatengemea na njia na thamani ya zabuni husika,kama zabuni ilikuwa na thamani kubwa ya kushindaniwa na wazabuni wa kimataifa huyo mchina kupata ni haki yake,pia kama ililenga kununua viwandani ili kupata unafuu wa gharama niambie Kuna...
Kama 4 millions hivi,sikumchangisha tu,mm ni mfanyakazi na mke wngu pia ni mfanyakazi taasisi zetu zipo jirani tungeamua kuchangisha tungepata hata milion 60,ila tulifanys kimyakimya ya kifamilia tu ndugu wangu baadhi ns kwao baadhi jambo likaisha,ofisini tulipeleka vyeti,hatukutaka kucreate...
Tafsiri yake ni kwamba unahitaji mtu asiyeamini ktk Mungu pia,maana uchawi upo ktk vitabu vya imani,na Kuna mstari mdogo baina ya dini na ushirikina,Imani ni kitu kisichoonekana sawa na uchawi vilevile!!
Hivi kipi ni sahihi,kununua TV mpya kuweka chumbani kwa watoto ili wqangalie katuni zao huko au kuweka chumbani kwako uangalie vpnd vyako usiwaghasi sebuleni??
Brother hizo ni huduma kama huduma nyingine,si kila huduma inayotolewa duniani lazima babu yako aijue,Kuna Aina nyingi za matibabu zinakija kutokana na exposure babu yako hajawahi kuzijua,exposure ni pamoja na kujifunza vitu vipya!!
Hizo jamiii nyingine zingekuwa na maana si wangeanza kujenga huko Makawao kwanza?? Maana mpaka mnakimbilia wa jamii ya wazaramo kung'ang'ania kuishi inamaanisha walikwisha waacha mbali! Wanachokifanya ni muendelezo wa ustaarabu wa watu wa pwani hekima iliyotumika kuwakaribisha ndo inayotumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.