Recent content by Mlima Tarime

  1. M

    Hatimaye majina ya walioficha pesa Uswisi yaanza kutoka taratibu!

    Inamaana hakuna kina lolote toka familia mheshimwa raaaaaaaaiz,hii ya kutunga hii.
  2. M

    Wananchi Mtwara Mjini wafanya maandamano makubwa kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar!

    Ssi watanzania tuna mapungufungu katika support pale inapohitajika ,Wanamtwara Big up sana Gesi ibakie mtwara .Faida kibao mtapata kama jamii zilizozungukwa na migodi .Naamin hakuna siasa ndani ya hili .
  3. M

    Kimeo cha ijumaa weekenda

    Washikaji jana nimeanza weeknd na kimeo balaaa ,Katika sehem niliyo kuwa nimetulia nilishare meza na mama moja ukimuona utazani bibi hivi,basi alipokolea kinwaji nilishangaa sana kuniambia kuwa hajawahi olewa na miaka 39 ,hana mtoto aliniomba nimtaftie Mchumba na yafuatayo mchumba wake huyo...
  4. M

    Alikuwa mpenzi wangu miaka kumi ilyopita sasa anadai tuoane huku aliniacha akasepa na mzungu majuu .

    Nashukuru sana ndugu zangu kwa ushauri wenu ,Nemeamua kumuaoa Kipenzi changu ,pia na mtoto nimeamua kulea,kwani hv sasa nimeamua kumpeleka shule yuko darasa la 3, yote maisha kwani ajuae ni mola .Niombeeni ndoa njema.
  5. M

    Alikuwa mpenzi wangu miaka kumi ilyopita sasa anadai tuoane huku aliniacha akasepa na mzungu majuu .

    Amerudi na mtoto wa kitasha ,aliniacha maskin sasa nina fedha si kama Lowasa aaa ,ya kubadilisha tu mboga yaaan tajiri wa kati nifanyeje ndugu .Ila Mtasha wake alifariki katk Vita huko Afghan
  6. M

    Tarime: Mahusiano na mapenzi - Usioyajua.......

    Ni Kweli kaka watu wa tarime ni wastarabu sana isipokuwa yanayosemwa mengi ni perceptions za mtu binafsi.Na hiyo ipo kila mahali Duniani .Utaskia Wahaya wako hivi, Wahehe wanajiiiiii,Wagogoo nao Mhiiiii nk So haya ni Maono tiu ya watu hakikisha mwenyewe.Karibu Tarime.
  7. M

    Mwanaume KAMILI

    Mwanaume kamili ni yule ambaye huwezesha familiya yake kula ,kulala ,kuvaaa na matibabu .Amani zaid .
  8. M

    Umaskin na kupenda kwangu kumenifanya nikubaliane nae kwa kila alisemalo!!

    Da pole sana jaribu kuwa na subira na pia jifunze kujitegemea zaidi kuwa creative hata ka ni ndizi uza isiendeshwe na Tamaaa ,wengi ni maskini wa fedha ila tajiri wa afya .
  9. M

    serious man to build a family!

    Mimi niko tayari ila nina mtoto mmoja wa kiume na miaka ninayo 34 nafanya kazi karibu sana
  10. M

    natafta mchmba mwlm

    Ningependa kama uko tayari nitumie namba
  11. M

    Natafuta rafiki wa kike kwa uhusiano wa siri

    Ukifanikiwa kupata niambie na mimi naham na kuwa na mahusino kama hayo
Back
Top Bottom