Mlima Tarime
Member
- Jan 27, 2012
- 14
- 1
Mwanaume kamili ni yule ambaye huwezesha familiya yake kula ,kulala ,kuvaaa na matibabu .Amani zaid .
Non-existent to you. . .it doesn't surprise me.
Hahahaha. . .
Haya bana nanyoosha mikono.
haya.....nevertheless, good luck with your search for a non-existent "malaika duniani". lols...
Wakati kuna wanawake wanataka wawezeshwe na wanaume, Mwamvita Makamba amejiwezesha kwa style hii, huyu ni mwanamke kamili.
![]()
Mbona unang'ang'ana sana na hiyo non-existent? Kama wewe unaona kwamba hata ukijitahidi huwezi ukafikia hata robo ya hapo ni vizuri ukaamini kwamba ni wewe tu ndie uliyeshindwa na sio kila mtu.
This is nice!! Yaani kama ulikuwa unanielezea mimi!!Hii nimeipenda kwa kweli, nimepata picha the type of mwanaume wapenda.... Ulie mdiscribe yupo Perfect, In reality ni ngumu saana kumpata but wenye bahati zao wanapata, na hopefully utawa mmoja wao...
Kwa upande wangu Mwanaume kamili ni yule ambae ananielewa ipasavo na on top of that ananijali mno hata kama hajanipenda mno! akinielewa ipasavo atajua nini nataka, wakati gani nataka hicho kitu; Atanijua tabia zangu zoote, nikiwa sad/emotional/sensitive/happy/horny/depressed - na atatafuta njia mbadala wa kunifanya niwe normal. In short on one to one... Atanifanya nijiskie I am special and Woman indeed. Atakua baba mzuri wa watoto wangu na kutimiza wajibu wake kama baba na Mume. Ana Utu kwa wanadamu woote sio tu wakaribu wake.....
Mwanaume kamili huendana na mazingira yoote, hana mtindo wa kuuza sura, wakati wa kazi ni wakati wa kazi! Wakati wa kuuza sura ni wakati wa kuuza sura! He is at home anywhere... iwe shamba, iwe kazini (ofisini), iwe kijiweni, iwe kwa wakwe, iwe nyumbani kwake na hasa kila chumba (i.e jikoni), iwe mbele ya kundi kubwa, iwe mkutano, He rules..... either by being a low key player or high key player.... Awe anajua ana madhaifu na asiwe muoga wa kuonesha hayo madhaifu (walau kwangu kama mpenzi wake). Ajue kua yeye ni mwanadamu kama wengine, ili a-appriciate wanadamu wali mzunguka regardless hali zao...
Mwanaume kamili ni yule mwanaume hata his fellow men wish to be like him.....
Hujatakaga ungekuwa umeshatuonaga...sijaonaga
show me aliyefikia hata 75%! i swear i will self-transform, take a charge at you and marry you....and marry you i can, honey.
Wangekua wanataka publicity ningewaanika hapa but they don't.Tena umenikumbusha ngoja ntawasifia moja kwa moja. Hahahaha. . marry me?YOU ABSOLUTELY CAN NOT!!
Alafu wapo waliojitaja hapa. . . sema hujataka tu kuwa-acknowledge kwasababu hutaki kuamini kwamba inawezekana.
Hahahaha so if you capitalize words you are emphasising but if I do it I'M SHOUTING? Dayyyyyym."... marry me?YOU ABSOLUTELY CAN NOT!!" = u are shouting at me with that caps stuff, honey.....but watch me!
hapo juu kwenye red.....they are trying to get the better (worse?) of you. USIDANGANYIKE (na hii ni emphasis siyo shout!)