Faiza nimepima kwa ajili ya maandalizi ya safari kama mwezi sasa na namshuru mungu nipo salama!!
Hongera kwa kuwa umepima na afya yako iko safi!!
Unaonaje ukienda "likizo ya mapenzi" mpaka utakapo pata fedha za kumpa huyu unaamini kuwa unapenda?
Ukitoka likizo hiyo nadhani utakuwa unaakili iliyotulia na kufanya maamuzi ya au uendelee naye huyo umpendaye au unatafuta mwingine. Kabla ya kufanya maamuzi hayo muombe Mungu akupe aliye wako.