Recent content by Mlengera Moses

  1. M

    Panda mti angalau mmoja

    Na mimi namshukuru Mungu Mwaka huu nimepanda miembe 150 na milimao 50 jumla miti 200 na yote inaendelea vizuri.
  2. M

    Madaraka ya kulevya na intelijensia ya kishenzi

    So sad! Tuwaombee majirani zetu Kenya wavuke salama Mtihani huo wa uchaguzi, maana hizo sio dalili nzuri kabisa!
  3. M

    Mimba za kuzimu

    Kuna dada mmoja ana tatizo la bleeding kila wakati na ameshahangaika saana hospital imeshindikana, sasa hivi anahangaika kwa waganga lakini bado,ana miaka 40 na bado hajabahatika kupata mtoto, je unamshauri nini?
  4. M

    Mfahamu malkia wa kuzimu

    Mshana Jr mambo yako hayo, unayajua vyema!
  5. M

    Sura za hawa watu hazifanani na kutungua helikopta

    Kweli kabisa Mkuu umeliona hilo!
  6. M

    Tuache Wivu kwa Nehemia Mchechu

    Mbona Makocha wa Taifa Stars wanalipwa mishahara mikubwa na tunaishia kuwa kichwa cha mwendawazimu hawasemi? Ni kwamba mifumo ya upangaji na usimamiaji mishahara bado haijawekwa vizuri, Tofauti ni kubwa mno ukilinganisha na watumishi wa kawaida kama walimu, wahandisi , madaktari n.k!
  7. M

    Tuache Wivu kwa Nehemia Mchechu

    Mbona Makocha wa Taifa Stars wanalipwa mishahara mikubwa na tunaishia kuwa kichwa cha mwendawazimu hawasemi? Ni kwamba mifumo ya upangaji na usimamiaji mishahara bado haijawekwa vizuri, Tofauti ni kubwa mno ukilinganisha na watumishi wa kawaida kama walimu, wahandisi , madaktari n.k!
  8. M

    Hizi tetesi ni kweli kuhusu Nyerere?

    Viongozi wengi kote duniani lazima wana means of protecting themselves, Ikulu huwezi kaa hivihivi uongozi mamilioni ya watu, Usimwone kiongozi anakwenda kanisaani au msikitini ukasema huyu anamwabudu mungu tu, kuna Siri kubwa numa ya pazia, Ushawahi sikia Hirizi ya Simba, Akipewa kiongozi...
  9. M

    Nimeamua kuwa #Team lowassa#

    :clap2:Tumwombee ili CHIMWAGA pale Dodoma mwka 2015 ifuke moshi mweupe wenye jina la Edward Ngoyai Lowassa! Uwezo anao hivyo kwa Baraka za Mwenyezi Mungu atapita tu!:clap2:
  10. M

    Hii ndio Nyumba Mpya ya Kisasa ya Mbunge wa Chadema Mwenye Makelele Mengi Sana!!

    Kaka hii ni kweli kabisa, wenzetu wa vyama vya upinzani wanajifanya wao ni watu ambao wakipewa nafasi hawatazitumia kwa manufaa yao wenyewe bali kwa manufaa ya wananchi tu. Sasa mifano kama hii ya ujenzi wa majumba ya kisasa inapingana na hoja zao za majukwani! :lying:
  11. M

    Siku 3 za Kuanza kugomea Kodi ya SIM Cards... July 29, 30 na 31...

    Ikiwezekana Watanzania wote tuzime simu zetu hata kwa hizi siku tatu ikiwa ni ishara ya kupinga tozo hizi za simu, pesa inayopatikana kwenye madini, mbuga za wanyama, samaki na kodi za mishahara na bidhaa zote za kibiashara zinaenda wapi? Mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni!!!
  12. M

    Kuhusu Mlipuko Arusha linganisha matukio haya, je yanawiana?

    Why is this always done to Christians and not others? If you are a christian please try to think about it. Nothing which dont have an end.
  13. M

    Tusiilaumu ccm wala speaker wa bunge, hiyo ndo siasa.

    :nono:LENGO LA CHAMA CHA SIASA NI KUSHIKA DORA: Ikumbukwe kuwa hakuna Speaker au Mbunge iwe wa Chadema au CCM ambaye yuko tayari kuona chama chake kinashutumiwa mpaka kupoteza mwelekeo au dora akiwa anaangalia tu!! Je baada ya hapo atakula wapi?, atakuwa Speaker wa chama gani?, Naomba mkumbuke...
  14. M

    Kesi ya Lissu na wenzake: Makinda ahalalisha maamuzi ya Ndugai, aingiza kipengele kwenye kanuni

    LENGO LA CHAMA CHA SIASA: Kweli kabisa!! Halafu ikumbukwe hakuna Speaker au mbunge iwe wa Chadema au CCM ambaye yuko tayari kuona chama chake kinashutumiwa mpaka kupoteza dora akiwa anaangalia tu!! Naomba mkumbuke kuwa lengo la chama chochote cha siasa ni kushika dora, mambo ya mengine huwa ni...
  15. M

    Tsunami ya Kinana yaimaliza CHADEMA Gairo

    :yo:Kumkana Lwakatare sio dawa!!! CDM Wanapaswa wajue bado ni wachanga kwa CCM!!! Miaka 36 madarakani sio kitu rahisi na cha mchezo!! Wakaze buti na wawe wavumilivu!!!
Back
Top Bottom