Panda mti angalau mmoja

Women time

Member
May 17, 2019
35
32
Fanya Tafakuri athari watakazozipata wajukuu na kizazi chako utakachokiacha hapa duniani kutokana na miti inayozidi kupotea kila kukicha.

Tumia mvua hizi alizozileta mwenyezi Mungu kwa makusudi ili kutafta mvua ya kesho.

Bila ya kusimamiwa unaombwa kuchukua hatua ili usiache deni hapa duniani kuwa haukutengeneza mazingira. Dunia ni mimi na wewe.

Rafiki Mlioko humu kuwa mabarozi wa hili jambo,

Mr. Damas ametukumbusha ingawaje yeye kapanda mkrismas wewe unapanda mti gani?
IMG_20191207_094448_173.jpeg
 
Asante kwa kutukumbusha!

Ni utaratibu mzuri watu tukijiwekea mazoea ya kupanda Miti na ina faida sana kama ukiwa serious na Biashara ya upandaji Miti.

Binafsi, upandaji Miti nachukulia ni kama uwekezaji mbali na kutunza Mazingira.

Nilianza kupanda Miti zaidi ya Miaka 6 iliyopita na hadi sasa nimepanda takribani Heka 60 ambayo ni karibia sawa na Miti 96, 000 kwa spacing ya 2.5m x 2.5m za aina ya Mikaratusi (Eucalyptus saligna na Eurograndis). Msimu huu natarajia kupanda tena kama heka 25 - 30 maeneo ya Mufindi.

Kuanzia mwaka 2021 naanza kuvuna na kuipeleka Sokoni.

Nawashauri watu wapande Miti kwa faida yao, kizazi cha sasa na kijacho.

Mbali ya Kukuza uchumi na kuongeza kipato cha mtu binafsi. Faida nyingine za kupanda Miti ni pamoja na hizi zifuatazo:-
- Kutunza mazingira
- Kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi
- Kusaidia kupunguza mmomonyoko wa udongo
- Husaidia kuongeza hewa ya Oksijeni na kupunguza hewa ya Ukaa/Kabonidioksaidi
- Chanzo cha nishati ya kupikia mf. Kuni na Mkaa
- Husaidia kupata Mbao kwaajili ya ujenzi na Samani
- Husaidia kutupatia Matunda, dawa, chakula, asali, kivuli na mapambo.
- Miti mfano Tectona grandis/Mitiki/Misaji pia husaidia kwenye kutengeneza Bodi za Meli, vitako vya Bunduki n.k
 
Asante kwa kutukumbusha!

Ni utaratibu mzuri watu tukijiwekea mazoea ya kupanda Miti na ina faida sana kama ukiwa serious na Biashara ya upandaji Miti.

Binafsi, upandaji Miti nachukulia ni kama uwekezaji mbali na kutunza Mazingira.

Nilianza kupanda Miti zaidi ya Miaka 6 iliyopita na hadi sasa nimepanda takribani Heka 60 ambayo ni karibia sawa na Miti 96, 000 kwa spacing ya 2.5m x 2.5m za aina ya Mikaratusi (Eucalyptus saligna na Eurograndis). Msimu huu natarajia kupanda tena kama heka 25 - 30 maeneo ya Mufindi.

Kuanzia mwaka 2021 naanza kuvuna na kuipeleka Sokoni.

Nawashauri watu wapande Miti kwa faida yao, kizazi cha sasa na kijacho.

Mbali ya Kukuza uchumi na kuongeza kipato cha mtu binafsi. Faida nyingine za kupanda Miti ni pamoja na hizi zifuatazo:-
- Kutunza mazingira
- Kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi
- Kusaidia kupunguza mmomonyoko wa udongo
- Husaidia kuongeza hewa ya Oksijeni na kupunguza hewa ya Ukaa/Kabonidioksaidi
- Chanzo cha nishati ya kupikia mf. Kuni na Mkaa
- Husaidia kupata Mbao kwaajili ya ujenzi na Samani
- Husaidia kutupatia Matunda, dawa, chakula, asali, kivuli na mapambo.
- Miti mfano Tectona grandis/Mitiki/Misaji pia husaidia kwenye kutengeneza Bodi za Meli, vitako vya Bunduki n.k
Hapa sasa ndo umenifikisha nimeanzankuapanda mitiki hadi mwaka Jana. eka 45
 
Hapa sasa ndo umenifikisha nimeanzankuapanda mitiki hadi mwaka Jana. eka 45
Hongera sana Mkuu!!

Kama umepanda katika eneo ambalo ni compartible na aina hiyo ya Miti, utaakuwa kuwa bonge la Don mbele ya safari.

Teak ni kati ya Miti ambayo thamani yake iko juu sana. Kuna Wanunuzi wachache wa Teak hapa Tanzania ila ni wa uhakika, wengi wao huwa Wana export.

Baadae pia nina mpango wa kupanda Teak eneo jingine tofauti na Mufindi. Kikubwa ni matunzo na uangalizi wa hali ya juu yanahitajika kwenye Mitiki hususan Miaka ya mwanzo wakati Miti ikiwa michanga
 
Hongera sana Mkuu!!

Kama umepanda katika eneo ambalo ni compartible na aina hiyo ya Miti, utaakuwa kuwa bonge la Don mbele ya safari.

Teak ni kati ya Miti ambayo thamani yake iko juu sana. Kuna Wanunuzi wachache wa Teak hapa Tanzania ila ni wa uhakika, wengi wao huwa Wana export.

Baadae pia nina mpango wa kupanda Teak eneo jingine tofauti na Mufindi. Kikubwa ni matunzo na uangalizi wa hali ya juu yanahitajika kwenye Mitiki hususan Miaka ya mwanzo wakati Miti ikiwa michanga
Kibaha na handeni
 
Mimi napiga tu miti Dada zenu, nyie endeleeni kupanda Mimi nipige
 
Fanya Tafakuri athari watakazozipata wajukuu na kizazi chako utakachokiacha hapa duniani kutokana na miti inayozidi kupotea kila kukicha.

Tumia mvua hizi alizozileta mwenyezi Mungu kwa makusudi ili kutafta mvua ya kesho.

Bila ya kusimamiwa unaombwa kuchukua hatua ili usiache deni hapa duniani kuwa haukutengeneza mazingira. Dunia ni mimi na wewe.

Rafiki Mlioko humu kuwa mabarozi wa hili jambo,

Mr. Damas ametukumbusha ingawaje yeye kapanda mkrismas wewe unapanda mti gani?View attachment 1284634

Somo zuri sana, mpo wachache mno wenye focus ya namna hii, naishauri serikali kuanzisha vijiji vya watunza mazingira kwenye kila wilaya ambavyo wakazi wake watakuwa wa aina yako pekee na vijiji hivyo vitakuwa vituo vya watu wengine kujifunza utunzaji mazingira
 
Asante kwa kutukumbusha!

Ni utaratibu mzuri watu tukijiwekea mazoea ya kupanda Miti na ina faida sana kama ukiwa serious na Biashara ya upandaji Miti.

Binafsi, upandaji Miti nachukulia ni kama uwekezaji mbali na kutunza Mazingira.

Nilianza kupanda Miti zaidi ya Miaka 6 iliyopita na hadi sasa nimepanda takribani Heka 60 ambayo ni karibia sawa na Miti 96, 000 kwa spacing ya 2.5m x 2.5m za aina ya Mikaratusi (Eucalyptus saligna na Eurograndis). Msimu huu natarajia kupanda tena kama heka 25 - 30 maeneo ya Mufindi.

Kuanzia mwaka 2021 naanza kuvuna na kuipeleka Sokoni.

Nawashauri watu wapande Miti kwa faida yao, kizazi cha sasa na kijacho.

Mbali ya Kukuza uchumi na kuongeza kipato cha mtu binafsi. Faida nyingine za kupanda Miti ni pamoja na hizi zifuatazo:-
- Kutunza mazingira
- Kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi
- Kusaidia kupunguza mmomonyoko wa udongo
- Husaidia kuongeza hewa ya Oksijeni na kupunguza hewa ya Ukaa/Kabonidioksaidi
- Chanzo cha nishati ya kupikia mf. Kuni na Mkaa
- Husaidia kupata Mbao kwaajili ya ujenzi na Samani
- Husaidia kutupatia Matunda, dawa, chakula, asali, kivuli na mapambo.
- Miti mfano Tectona grandis/Mitiki/Misaji pia husaidia kwenye kutengeneza Bodi za Meli, vitako vya Bunduki n.k
Bonge la msukumo, nashangaa uzi huu unakosa kabisa wachangiaji, hii ni moja ya kutoana kimaisha, naamini kabisa watu wanakosa exposure tu, Mufindi ni sehemu nzuri kujifunzia suala la upandaji na utunzaji wa miti, ukitoka mjini ukaenda Mufindi unaona kuna tofauti kubwa sana ya hewa unayovuta.
 
Hakika ni faraja kubwa sana kuona Unaonesha vitu vizuri,hongera sana na tuendelee kuelimisha wenzetu
Asante kwa kutukumbusha!

Ni utaratibu mzuri watu tukijiwekea mazoea ya kupanda Miti na ina faida sana kama ukiwa serious na Biashara ya upandaji Miti.

Binafsi, upandaji Miti nachukulia ni kama uwekezaji mbali na kutunza Mazingira.

Nilianza kupanda Miti zaidi ya Miaka 6 iliyopita na hadi sasa nimepanda takribani Heka 60 ambayo ni karibia sawa na Miti 96, 000 kwa spacing ya 2.5m x 2.5m za aina ya Mikaratusi (Eucalyptus saligna na Eurograndis). Msimu huu natarajia kupanda tena kama heka 25 - 30 maeneo ya Mufindi.

Kuanzia mwaka 2021 naanza kuvuna na kuipeleka Sokoni.

Nawashauri watu wapande Miti kwa faida yao, kizazi cha sasa na kijacho.

Mbali ya Kukuza uchumi na kuongeza kipato cha mtu binafsi. Faida nyingine za kupanda Miti ni pamoja na hizi zifuatazo:-
- Kutunza mazingira
- Kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi
- Kusaidia kupunguza mmomonyoko wa udongo
- Husaidia kuongeza hewa ya Oksijeni na kupunguza hewa ya Ukaa/Kabonidioksaidi
- Chanzo cha nishati ya kupikia mf. Kuni na Mkaa
- Husaidia kupata Mbao kwaajili ya ujenzi na Samani
- Husaidia kutupatia Matunda, dawa, chakula, asali, kivuli na mapambo.
- Miti mfano Tectona grandis/Mitiki/Misaji pia husaidia kwenye kutengeneza Bodi za Meli, vitako vya Bunduki n.k
 
Somo zuri sana, mpo wachache mno wenye focus ya namna hii, naishauri serikali kuanzisha vijiji vya watunza mazingira kwenye kila wilaya ambavyo wakazi wake watakuwa wa aina yako pekee na vijiji hivyo vitakuwa vituo vya watu wengine kujifunza utunzaji mazingira
Asante sana ndg yangu,ni Wazo zuri
 
Bonge la msukumo, nashangaa uzi huu unakosa kabisa wachangiaji, hii ni moja ya kutoana kimaisha, naamini kabisa watu wanakosa exposure tu, Mufindi ni sehemu nzuri kujifunzia suala la upandaji na utunzaji wa miti, ukitoka mjini ukaenda Mufindi unaona kuna tofauti kubwa sana ya hewa unayovuta.
Ndg usishangae akili za watanzania hasa walio wengi wanawaza mambo ya kisiasa pamoja na mapenzi lakini tukizidi kuwapa faida za vitu vyenye tija watabadirika na mwisho tutafika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom