Recent content by Mkweli bin Daima

  1. Mkweli bin Daima

    KWELI Asali ni hatari kwa watoto wenye umri chini ya mwaka mmoja

    Mwamba hii komenti umefikiria nini, nimecheka sana asee Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
  2. Mkweli bin Daima

    Leo nimekutana na nyoka kisirani sijawai kuona

    Sio kumtisha ni kweli hao nyoka aina hiyo wana tabia hizo. Na ni bora alikuwa ndani ya gari asingeweza kusimulia hii story. Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
  3. Mkweli bin Daima

    Wanawake 500 wapata mimba kwa upandikizaji Arusha

    "Kila kitu kitapanda...." (sauti ya mama)
  4. Mkweli bin Daima

    Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

    Hizo za nguruwe bado ni utafiti, imefanimiwa moja huko Marekani, kwa sasa ni jambo ambalo halijathibitika na kuanza kutumika
  5. Mkweli bin Daima

    The galactic habitable zone: Lifahamu eneo katika galaxy yetu linalo support uhai

    Hii ni kusema kwamba kwa umbali mrefu sana kwenda huko angani, wanasayansi waliona ugumu kutumia vipimo kama kilomita au maili badala yake wanatumia kasi ya mwanga, kwa mfano hapo 180000 light years wanamaanisha kwa kasi ya mwanga unatakiwa uende miaka 180000 ili kufika hapo mahali Ukichunguza...
  6. Mkweli bin Daima

    Samsung hizi ni tabu tupu

    Hiyo simu ya zamani mkuu
  7. Mkweli bin Daima

    Nahitaji Smart Watch ila nina 50k

    Hiyo bei ipo kwa baadhi ya wauzaji, tembelea page zao utapata
  8. Mkweli bin Daima

    Ndani ya siku 30 tu za Mitano Tena mafuta ya kupikia yaadimika lita 1 yafika Tsh. 5000

    Sasa unesema kwa sababu ya COVID mafuta ya nje hayaingii bado unalaumu 30 za mitano tena, yani kuna watu lazima muilaumu serikali tu hata bila sababu
  9. Mkweli bin Daima

    Tajiri wa ajabu aibuka huko Ruvuma, Bilionea Barnaba Nyoni, anafanya biashara ya Mahindi

    Hakuna uchawi hapo, akili ndogo tu. Ananunua maguninia ambayo hayajapimwa, lakini yeye anauza kwa kupima kilo 100. Magunia mengi yanakuwa yamezidi uzito wa kilo 100. Anapata faida kwa uzito uliozidi kwenye kila gunia, ni kidogo kidogo lakini anapiga mzigo mkubwa hivyo lazima faida aipate.
  10. Mkweli bin Daima

    Wimbi kubwa la vijana wasomi 20's kujitoa uhai, nini maoni yako?

    Mimi na wewe sote tunajua unachomaanisha. Ugaidi unafanyika kisiri na hata kupambana nao pia kisiri hivyohivyo, kuwa mpole
  11. Mkweli bin Daima

    Polisi wawajibike ajali ya daladala Temeke

    Hawa polisi huwa tunawalaumu bure tu wakati mwingine. Kama hoja yako ni watu kusimama, kwamba wangekuwa wamekaa wasingekufa, akili za wapi hizi? Hivi umeona hata picha za hiyo ajali? Hivi kweli pale kusimama kunazuia nini au bahati tu ndo inayokuokoa? Sikushangai sana maana lawama ndo...
  12. Mkweli bin Daima

    Changamoto tunayopaswa kukabiliana nayo

    Vizuri sana umetumia ubunifu kuelezea hoja yako, vipaji vya sanaa bado vipo kumbe! Big up sana
  13. Mkweli bin Daima

    Naomba ufafanuzi kuhusu Law enforcement (bachelor)

    Field za kazi ni mahali popote panapohitaji usimamizi wa sheria, mainly kwenye majeshi yote lakini ishu ya ajira ni pana unaweza pata popote penye uhitaji sia ajabu ukafanya kazi tbs, benki n.k
Back
Top Bottom