Recent content by Mkwanzania

  1. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Alafu hivi Embassy hotel mpango niaje?
  2. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hizi stories tuliwaambia humu mkashupaza shingo, oooh tuletee 1km ya SGR nyenyenye…….now here we go, we put our bars high and your own people wanawasagia kunguni. Next time you wanna battle with us in real things hakikisheni zipu haziko nyuma coz we will f**k you up bila kirainishi just like that.
  3. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    We ebu acha upupu, siongelei throwback hits, nataka unioneshe hit makers wenu hao wanafanya nini kwenye mainstream music kama hao Legends wetu, Nonini anaweza toa banger saa hii ikahit kama hiyo?
  4. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sisi hatuna shida personal na nyie ni tabia zenu ndio zinawahukumu, we are mostly friendly nation na kila mtu anajisikia poa kuwa na sisi, nyie ndio shida, hata we unajua namna mademu zenu ni pasua kichwa hasa when it comes to chapaa.
  5. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hivi kuna old school rappers wanaotoa bangers kama hizi hapa East Afrika zaidi ya Bongo? Hapo jirani old school rappers wote ni JuAKaLi😅😂 #TheGodFather #TheButcher #LordOfWar #BonGoHiPhoPMaFias https://youtu.be/6E3oSInESYI?si=RDuyyi2y9eDkIr7v
  6. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    He is foolishly in love with a devil……..😅😅
  7. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huyu dogo sometimes huwa namuonea huruma sana, anawajua Wakenya vizuri kweli huyu? Anyways ngoja tumuache tusimwambie, he is in love akiachwa ataacha😅😅
  8. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nyie Wapuuzi wa Kaskazini angalieni thamani ya wachezaji wa ligi yetu na hapo utasikia Yanga wanaweka mzigo cash mezani………anyways poleni na msiba, huko kwenu kuuana ni kitu cha kawaida. RIP Gen. Ogolla.
  9. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Yaani huu mzigo unanunua timu zote za Kenya na ligi yao yote, tukiwaambia sisi ni baba zenu muwe mnaelewa na kukaa kimya.
  10. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tusitukaniane wazazi sasa we jamaa……hii vita ni yetu sisi wazazi waachwe!!
  11. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nimepita jana napo hakuna progress ya maana. Hiki kipande cha Mwenge Morroco hakina mbambamba kabisa angekomaa nacho ni miezi mitatu tu kimeisha since ni kazi ya katikati tu.
  12. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hivi hawa wakandarasi wa BRT Phase 4 na 5 wanafanya kazi gani? Mbona sioni progress yoyote ya maana miezi 6 sasa? Toka kaweka mawe yake barabarani kapotea kabisa…..namna gani hii?
  13. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Baba Yao 255 akitua kwenye reli🔥🔥🔥
  14. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kwani kuship mbuzi, kondoo na punda hapo Lamu mnahotaji cranes zote hizi?😅😅
  15. Mkwanzania

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Alafu anakuja Waziri mmoja kilaza anataka kuuficha mpira kwenye mipaka ya kikoloni, haoni hata Wakunya wote ni Yanga na Simba?😅😅
Back
Top Bottom