Hizi stories tuliwaambia humu mkashupaza shingo, oooh tuletee 1km ya SGR nyenyenye…….now here we go, we put our bars high and your own people wanawasagia kunguni. Next time you wanna battle with us in real things hakikisheni zipu haziko nyuma coz we will f**k you up bila kirainishi just like that.
We ebu acha upupu, siongelei throwback hits, nataka unioneshe hit makers wenu hao wanafanya nini kwenye mainstream music kama hao Legends wetu, Nonini anaweza toa banger saa hii ikahit kama hiyo?
Sisi hatuna shida personal na nyie ni tabia zenu ndio zinawahukumu, we are mostly friendly nation na kila mtu anajisikia poa kuwa na sisi, nyie ndio shida, hata we unajua namna mademu zenu ni pasua kichwa hasa when it comes to chapaa.
Hivi kuna old school rappers wanaotoa bangers kama hizi hapa East Afrika zaidi ya Bongo? Hapo jirani old school rappers wote ni JuAKaLi😅😂
#TheGodFather
#TheButcher
#LordOfWar
#BonGoHiPhoPMaFias
https://youtu.be/6E3oSInESYI?si=RDuyyi2y9eDkIr7v
Huyu dogo sometimes huwa namuonea huruma sana, anawajua Wakenya vizuri kweli huyu? Anyways ngoja tumuache tusimwambie, he is in love akiachwa ataacha😅😅
Nyie Wapuuzi wa Kaskazini angalieni thamani ya wachezaji wa ligi yetu na hapo utasikia Yanga wanaweka mzigo cash mezani………anyways poleni na msiba, huko kwenu kuuana ni kitu cha kawaida. RIP Gen. Ogolla.
Nimepita jana napo hakuna progress ya maana. Hiki kipande cha Mwenge Morroco hakina mbambamba kabisa angekomaa nacho ni miezi mitatu tu kimeisha since ni kazi ya katikati tu.
Hivi hawa wakandarasi wa BRT Phase 4 na 5 wanafanya kazi gani? Mbona sioni progress yoyote ya maana miezi 6 sasa? Toka kaweka mawe yake barabarani kapotea kabisa…..namna gani hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.