Hahaha! wacha kabisa,,, tulikuwa tunajiita dakika 3 nyingi,,,, Ugali ukiwekwa kati,,, sahani bado inafuka moshi watu washaaanua vyombo....Vijana tu ambao tulikuwa madume karibia 10,Hapo hujaesabu wadada.Bado huja anticipate wageni.Maana pale ilikuwa kama charity,,, mnuso ukisikika lazima watu...