samahani wakubwa zangu alikuwa naomben ushauri wenu juu ya hii kozi ya record menagement nataka kusoma ngazi ya cheti mpaka diploma sasa eti hii kozi upatikanaji wake wa ajira ukoje ,,natanguliza shukrani
Duuh sas hapo ni pamoja na chakula au kwani si walisema wote watakaochaguliwa vyuo vya gvt chakula wanajitegemea ss mm nilitumaini ada itapungua sana ila kumbe ni vile vile tuu
Plz ustadhi kama una namba za machame school of nursing naomba unipatie kwani nina ndugu yangu kachaguliwa huko na mpaka ss hajapata joining ya chuo hicho
Pia ustadhi naomba msaada wako tena san juu ya hiki kak alikuwa naomba muongozo wa masomo ya kozi ya nursing kwa ngazi ya cheti alikuwa naomba unitajie hayo masomo tuu kak yaan nitashukuru sana ndugu yangu
Dah hongera sana kwako ustadhi ila naomba unipe muongozo kwa mtu ambaye kachaguliwa chuo cha serikali kwa kozi ya nursing akitaka kusoma day hv ada yake itakuwa kama kiasi gani vile
Ukiona mwanzo reset choice ilikuwepo na sas hv haipo ujue nacte tayr wameshakupangia chuo so wanangojea ile siku ya deadline ifike then jumatatu wanayaachia ila kwa mtu ambaye mpaka sas reset choise ipo ujue bado hajachaguliwa na mm namshauli aweke vyuo vingine ila msioge wote ambao reset choise...
jaman mm hembu naombeni munisaidie hv ule mfumo wa kuconfirm kila wakati mbona haufunguki tena jaman then kuna watu wengine pia hawajaconfirm kule ss sijui itakuaje ..help me
Ndio hata sio ww tu hadi sisi huku mara ya kwanza tuliingia na tukaconfirm na tukatumiwa huo ujumbe ila cha kushangaza kila unapotaka kuingia kuangalia tena jina lako unaambiwa ukocomfirm tena yaan hat sielewi hapo nilijua kama ni mara moja ni bas yan hata mda mwingin ukiingia huambiwi tena ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.