ndiyo neno gani hilo, kweli hii ni BRNHgk Agrcucha Huwez Enda , Labda 2mia Chet Cha 4 M 4
Thnx animal health inakuaje thn vyuo vyake ni vipi
bila science huku ni shiidaa sio rahsi mnavyofikiri itakusumbua xana
Nataka nisomee degree thn nakijua cha sokoine Morogoro
Then you are on the wrong side of the earth.Nataka nisomee degree thn nakijua cha sokoine Morogoro
Nataka nisomee degree thn nakijua cha sokoine Morogoro
samahani wakubwa zangu alikuwa naomben ushauri wenu juu ya hii kozi ya record menagement nataka kusoma ngazi ya cheti mpaka diploma sasa eti hii kozi upatikanaji wake wa ajira ukoje ,,natanguliza shukrani
Habari zenu mimi ni mwanafunzi wa kidato cha sita HGK naweza kuchukua agriculture niendapo chuo na je bado agriculture inasoko nchini
Thnx animal health inakuaje thn vyuo vyake ni vipi