Hiyo kodi siyo burden kwako, inaitwa withholding tax, kwahyo wewe ni withholder, jukumju lako ni ku i withhold (kuizuia) kutoka kwenye pesa ya pango unayotakiwa kumlipa landlord wako, kwa mfano kama mkataba wa pango unasema ni laki nne utazuia 10% ya laki nne na utamlipa landlord TZS 360,000, na...