hekimanyingi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 679
- 573
Kwa kutazama haraka idadi ya watu tulikuwa takriban 200 au zaidi. It sounded fair, ila huwezi kujua kama kulikuwa na fitna japo kuna kachero mmoja aliniambia waliamuwa kutumia taasisi nyingine kufanya recruitment ili kuwepo na fairness japo sijathibitishiwa hilo mkuu. Jiandae kama nilivyoshauri unaweza ukafanikiwa ukijiandaa vyema na kumtegemea Mungu.vp mkuu wakati mnafanya usaili idadi ya watu mlioitwa ilikuwaje na kuna uwazi wa kutosha katika kuajiri ama kuna ukiritimba pia?