LAPF wanaita oral interview Dodoma

LAPF wanaita oral interview Dodoma

hahahaha dah huyo jamaa ana bahati mnoo yaani written hakuwemo alafu oral yumo ? !!!
 
ah wale jamaa wanapiga hata simu mida mibovu kweli mi walinikurupusha ile written paper ..
 
Jamaa wangu wa karibu niliyesoma naye chuo kimoja na wote tulikuwa kwenye written pale DUCE kapigiwa simu kwa ajili ya Oral LAPF, it is confirmed people, sometimes we have to accept the reality hata kama inauma,
 
Ni ile walienda Duce watu 3034 kwa nafasi 4... au ni nyingine

Kwann vijana mnainvest kwenye Interview kuliko ujasiria mali
 
Mie kuna jamaa yangu kaitwa Oral lakin kwenye written hakuitwa kabisa....hapa nashindwa kuelewa

Ipo wazi kabisa haku meet ushindani wa kuendelea tukiondoa Bias
We shall meet again....Oct 2015
 
Acha kuwapa watu presha, bado hawajaita

Kaka sio sote tulio humu JF tunapenda ku comment any things na nakusihi usipende kukurupuka coz ur interlecture kama sijakosea & always msomi hakurupuki!

Sikuleta hii topic kwa kufurahisha genge fuatilia comments zangu na topics zangu huwa ziko kisomi zaidi na mantiki sawa msomi mwenzangu umenipata!

Nasikufanya vibaya kuleta topic hii humu coz kuna waanga wenzangu ambao tuko kwenye gurudumu la kutafuta ajira nao lazima wapate informations!

oral interview ni jumamosi DODOMA then unavyofanya hivyo utafanya watu wengine washindwe kutupa updates coz wataonekana waongo napia hatuku apply LAPF tu ni sehemu nyingi na humu ndipo tunapoulizana updates!
 
Kaka sio sote tulio humu JF tunapenda ku comment any things na nakusihi usipende kukurupuka coz ur interlecture kama sijakosea & always msomi hakurupuki!

Sikuleta hii topic kwa kufurahisha genge fuatilia comments zangu na topics zangu huwa ziko kisomi zaidi na mantiki sawa msomi mwenzangu umenipata!

Nasikufanya vibaya kuleta topic hii humu coz kuna waanga wenzangu ambao tuko kwenye gurudumu la kutafuta ajira nao lazima wapate informations!

oral interview ni jumamosi DODOMA then unavyofanya hivyo utafanya watu wengine washindwe kutupa updates coz wataonekana waongo napia hatuku apply LAPF tu ni sehemu nyingi na humu ndipo tunapoulizana updates!
..kaka Raqeeb naomba utuwekee namba walizotumia kukupgia ..coz mm kuna namba nmekuta mis call jana lkn nkipga haipatkan..
 
Kaka sio sote tulio humu JF tunapenda ku comment any things na nakusihi usipende kukurupuka coz ur interlecture kama sijakosea & always msomi hakurupuki!

Sikuleta hii topic kwa kufurahisha genge fuatilia comments zangu na topics zangu huwa ziko kisomi zaidi na mantiki sawa msomi mwenzangu umenipata!

Nasikufanya vibaya kuleta topic hii humu coz kuna waanga wenzangu ambao tuko kwenye gurudumu la kutafuta ajira nao lazima wapate informations!

oral interview ni jumamosi DODOMA then unavyofanya hivyo utafanya watu wengine washindwe kutupa updates coz wataonekana waongo napia hatuku apply LAPF tu ni sehemu nyingi na humu ndipo tunapoulizana updates!

Hongera mkuu!

Ni kweli kuna watu wanaona humu JF ni kama sehemu yao ya kupunguzia stress..wakati kiukweli kuna watu wanapachukilia serious sana humu ndani mimi nikiwa miongoni mwao..sababu napata kujuzwa juu ya mambo mengi yanayoendelea.

Kama mtu unakuwa huna cha kucomment ni bora unyamaze au km hujaitwa wewe tulia tu na sio kupotosha wengine kisa tu wewe hujaitwa.Sio kila siku lazima uitwe wewe.

Mkuu Raqeeb km kweli umeitwa all the best!. Mm nilifanya hiyo interview na cjaitwa mpk sasa,Nashukuru umetujuza!
 
Last edited by a moderator:
Hongera mkuu!

Ni kweli kuna watu wanaona humu JF ni kama sehemu yao ya kupunguzia stress..wakati kiukweli kuna watu wanapachukilia serious sana humu ndani mimi nikiwa miongoni mwao..sababu napata kujuzwa juu ya mambo mengi yanayoendelea.

Kama mtu unakuwa huna cha kucomment ni bora unyamaze au km hujaitwa wewe tulia tu na sio kupotosha wengine kisa tu wewe hujaitwa.Sio kila siku lazima uitwe wewe.

Mkuu Raqeeb km kweli umeitwa all the best!. Mm nilifanya hiyo interview na cjaitwa mpk sasa,Nashukuru umetujuza!

Watu wanashindwa kuelewa kwamba ridhiki ya MTU hailaliwi mlango wazi
 
Last edited by a moderator:
Mimi wamenipigia ila wanasemewamekosea number!!!!!imenipigia number hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom