strong woman
Senior Member
- Jul 11, 2013
- 131
- 37
- Thread starter
- #21
Nyie ndo mlikuwa mnaambiwa someeni ualimu mnajishebedua hamuwezi kushika chaki sasa hivi mnautamani ualimu.
Molembe huyoooo
Nyie ndo mlikuwa mnaambiwa someeni ualimu mnajishebedua hamuwezi kushika chaki sasa hivi mnautamani ualimu.
Gpa ya 3.3 mnasema ni ndogo, kwel nyie ni mataahira
Nyie ndo mlikuwa mnaambiwa someeni ualimu mnajishebedua hamuwezi kushika chaki sasa hivi mnautamani ualimu.
Habarini wanaJF, nahisi nitapata msaada mkubwa maana waajiri wapo wengi hapa.
Sasa wakubwa nimesoma Bachelor of Arts in Development Studies na cheti ninacho GPA ndogo sana ya 3.3 nisaidieni Tafadhali naombeni msaada kaka zangu na dada zangu.
Nina ujuzi wa computer na fani yangu naiweza vizuri hakika sibabaishi.
Asanteni.
Asante mkuu ubarikiwe
Arts in development studies bdani take kuna kilimo naomba nisaidieni jamaniDuh pole ndugu umesomea nini ndugu itasaidia zaidi kuwafungua hawa watu. Kama ni mtaalamu wa kilimo nahitaji mtaalamu wa kilimo nifanye naye kazi za kilimo cha umwagiliaji mikoa ya morogoro na pwani
Arts in development studies ngazi ya degree..Mkuu Strong Woman
Jaribu Kujieleza Vizuri Ueleweke
Usoma Nini?
Ngazi Gani Ya Elimu?
Japo Umesema Uko Mwanza
Jiweke Wazi Hao Watoa Kazi Wasiwe Na Maswali Hapa Jf.
Kazi Iwe Ni Kwenda Kufanya Tu Hiyo Kazi Kwa Ataye Kuwa Tayari Kukusaidia Kwa Moyo
Arts in development studies ngazi ya degree..
nakushauri ujieleze vya kutosha uweke particulars zote za muhimu angalau uweze kuuzika vizuri ili waajiri wasisumbuke kutambua potential uliyonayo. Punguza pia kulalamika.arts in development studies bdani take kuna kilimo naomba nisaidieni jamani